Liverpool inabebwa, goli la Salah offside waziwazi

Liverpool inabebwa, goli la Salah offside waziwazi

Hawezi kukuelewa, amechagua ujinga.
Bro nakushauri nyamaza unatutia aibu hata sisi.

ELEWA HAYA:

- Goalkeeper: Ni mchezaji kama wachezaji wengine, linapokuja suala la offside sharia haitambui kitu kinachoitwa Goalkeeper bali inamtambua kuwa ni mchezaji kama wachezaji wengine.


VIPI MCHEZAJI ANAHESABIWA KUWA OFFSIDE?

- Ni pale awapo katika Half ya Pitch ya Wapinzani iwapo:-
1) Amebakisha mchezaji mmoja tu wa upinzani mbele yake! Si lazima mchezaji huyo awe Goalkeeper, hata kama Goalkeeper ametoka golini na akabakia Beki au Kiungo au Mshambuliaji pekee.

2) Mbele yake hakuna mchezaji hata mmoja wa upinzani, Mfano Timu nzima akiwemo na Goalkeeper wameenda kushambulia kwa kupigwa Corner then Mshambuliaji akawa ameshavuuka Half pitch ya Upinzani na ukapigwa mpira mrefu ukamfika akiwa peke yake mbele hakuna mchezaji wa upinzani yeyote.

VIPI MCHEZAJI ANAKUWA SI OFFSIDE?

√ Iwapo yupo Half Pitch ya Opponents wake lakini mbele yake kuna wachezaji kuanzia Wawili (au zaidi).

Hao Wachezaji Wawili wanaweza kuwa BEKI na KIPA.
Si lazima Kipa awepo, inawezekana Mabeki Wawili pale iwapo Kipa ametoka kwenda kujaza Kona.

NOTE:
Ni kosa kuamini kuwa Offside inahesabika kufa kwa kuwepo Beki mmoja! Pale hapahesabiki Beki, Bali panahesabika kuwa kuna wachezaji Wawili (Beki na Kipa).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au angemfanyia tu foul kabla ya kufika kwenye 18

Sent using Jamii Forums mobile app

Salah alikuwa ni Mshambuliaji wa mwisho, kwahiyo angemfanyia faulo yoyote ya kumstopisha kufunga goli basi ingelikuwa ni straight red Card.

Na kumbuka ilikuwa ni Dakika ya 93' sasa kupata Kadi muda huo ambayo isingebadilisha matokeo ya mchezo ingelikuwa ni upuuzi.
 
Nimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.

Ngusero
Malalamiko hayo endelea nayo kwenye ligi ya nchi yako. Kwa ulaya hakuna ujinga wa aina hiyo.

Na kwa uelewa wako huna uelewa wa kumkosoa mzungu kama hata ujuzi wa kutengeza sindano ya kushonea nguo tu huna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAYA JIBU NA HII, MAYA ALIUGUSA MPIRA AKIWA OFFSIDE UPANDE WA LIVERPOOL, KIPA BADALA AWEKE MPIRA CHINI (AUTENGE) IPIGWE KAMA FAULO BADALA YAKE AKAUPIGA HARAKA HARAKA KUMUWAHI SALA. JE KUNA FAULO INAPIGWA HIVYO (KAMA ALIVYOPIGA KIPA WA LIVERPOOL KUMPASIA SALAH MBELE)? JIBU
Nakusaidia uelimike. De Gea hahusiki kwenye uamuzi wa ile iwe offside au isiwe hata angekuwa na yeye kaja kucheza ile kona hakuna offside kwasababu Salah alikuwa half ya Liverpool wakati anapasiwa ule mpira. Nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAYA JIBU NA HII, MAYA ALIUGUSA MPIRA AKIWA OFFSIDE UPANDE WA LIVERPOOL, KIPA BADALA AWEKE MPIRA CHINI (AUTENGE) IPIGWE KAMA FAULO BADALA YAKE AKAUPIGA HARAKA HARAKA KUMUWAHI SALA. JE KUNA FAULO INAPIGWA HIVYO (KAMA ALIVYOPIGA KIPA WA LIVERPOOL KUMPASIA SALAH MBELE)? JIBU

Sent using Jamii Forums mobile app
Nishajibu hilo.
 
Chukulia mfano foul imetokea pembeni mwa uwanja na linesman/refa wameamua iwe foul na mpira umetoka yaani kama isingekuwa foul ulitakiwa uwe wa kurusha, je mchezaji anaweza kurusha haraka haraka ikichukuliwa kama ADVANTAGE?
SIJAWAHI KUONA HII...OFFSIDE ISITENGWE CHINI [emoji850][emoji850][emoji850]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona game ya jana imetokea? Halafu unazani kwanini goli la firmino wachezaji wa man u walililalamikia na la salah hawakulilalamikia
 
Hivi nyie manure hamna wachezaji katili kama kina ramos au valverde wa madrid

Lile goli la pili ni uzembe kabisa, ilikuwa kufyeka miguu ya salah, out 3week hata kama red card sio mbaya,,,

Mtu kama ramos mipira ya vile anakufa na wew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear Gea anahusika vipi? Hii sio offside kwasababu wakati mpira unapigwa Salah alikuwa kwenye half yao(Liverpool). Offside ina-apply kwenye opposition half.
yote mawili yanampa Mo salla advantage ya kuwa onside.
1; Wakati Allison anampasia Mo sallah alikuwa kwenye zone(half )yao hivyo sio offside.
2, Golikipa wa Man U De Gea hakuwa kwenye eneo lake la golini(18) hivyo anahesabika kama mchezaji wa ndani, ndio maana akiushika mpira nje ya !8 inapigwa faulo na kadi juu.,. kanuni zingine za mpira ni ngumu kidogo
mathalani: Blocking is always out. Ikitokea bambika au bambi, aliyeblock mpira ndiye aliyetoa mpira ,refarii hapati shida kuamua.
any throwing ball has no offside: Mpira wowote uliorushwa hauna offside.
 
Mbona game ya jana imetokea? Halafu unazani kwanini goli la firmino wachezaji wa man u walililalamikia na la salah hawakulilalamikia
goli la bobby, big man vvd alimchezea rafu golikipa wa man,
 
Hakuna sheria ya offside inayohusu kipa akiwa nje ya 18-yard box. HAKUNA. Sheria ya offside ni hii

Mchezaji anakuwa offside iwapo wakati anapewa pasi (akiwa kwenye nusu ya uwanja wa wapinzani) atakuwa mbele ya LAST-BUT ONE DEFENDER.
Last but one defender mara nyingi anakuwa beki, huku last defender mara nyingi anakuwa kipa.

Hakuna kipengele kinachohusisha kipa kutoka nje ya box. Kama kipo kiweke hapa.
Mkuu RRONDO ipo sheria ya offside inayomuhusu kipa. Soma hapa chini.
Screenshot_20200122-175055.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom