Liverpool kesho jiandae kwa kichapo hatunaga mzaha kwenye fainali

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe nanyi wakuu

Katika team ambazo hatuna mzaha kwenye fainal bas ni Chelsea

Man city alitoka kutupiga 6 lakin tulipokutana naye kwenye fainal anakumbuka kilichotokea

Arsenal alitoka kutupiga 2 kwa sikio lakin tulipokutana naye fainal za europer anajua kilichotokea

Kwahiyo jianzadae kulaluliwa

Liverpool utaisoma namba hapo kesho

Chelsea one love

Chelsea boy

LONDON BOY
NANYUPU
last bone wa mwenyezi Mungu
 
Chelsea hii isiyokua na key players inawezaje kushinda fainali?au tumrudishe hazard kwa mkopo?
 
Hazard ndio alikuwa na uwezo wa kupenya kwenye ukuta wa liverpool

ila sas saiz, hayupo hakuna foward hata moja ya maana ya kuwatisha liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…