Liverpool kesho jiandae kwa kichapo hatunaga mzaha kwenye fainali


Mkifungwa usije futa uzi maana ndo zako
 
We keep fighting bro, uwezo wa kushinda tunao..

Come on the blues[emoji123][emoji123]
 
Hakuna kocha aliechukua tuzo ya kocha bora ktk msimu wake wa kwanza epl. Lazima asulubike kwanza atleast misimu miwili au mmoja. Hizo ndio tamaduni za epl.
Lampard ndo kocha bora msimu huu hutaamani macho yako ifikapo kesho
 
Kwangu Mimi hii game ngum sana si rahisi kusema nan atashinda. Manchester united tulipata matokeo mazuri dhidi ya Chelsea si kwa sabab walicheza vbaya hpn yalikua makosa madogomadogo sana yaliyosababisha mattzo ikiwemo kutokuwaheshim wapinzani na uwanja wa ugenini. Mimi utabiri wangu nampa Chelsea kutwaa super cup [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…