Liverpool na Tottenham walibeba ujumbe huu!

Liverpool na Tottenham walibeba ujumbe huu!

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Walinionyesha kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa katika 'spirit ya hali ya juu sana'.

Barca japo ni timu bora na kubwa lakini spirit iliwaangusha.

Ajax japo walikuwa wazuri sana lakini walizidiwa na spirit ya Tottenham.

Nawashukuru sana. Na kizazi chote kijifunze kwao!
 
Back
Top Bottom