Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kesho Martial anamagoli yake ya kutosha tuKama mjuavyo Anfield ni uwanja mgumu sana kwa Man Utd, Meneja wa Man Utd Jose Mourinho anawakosa wachezaji muhimu kama Pogba na Fellaini lwenye idara ya kiungo. Hivyo namuona Jose kesho atakavyojihami kwa kupaki Meli na wala sio basi tena ili kuzuia kasi ya Liverpool.
Nategemea kesho wachezaji kama Darmian, Ashley Young na Lingard kuanza first eleven huku muda mwingi wakikaba sana katka formation ya 7-3-0
Martial hana nafasi kwa mechi ya kesho kwa akili za Jose.
Pamoja na mbinu zote za kujihami zitakazotumiwa na Jose, Man Utd kesho atafungwa na kupata kipigo chake cha kwanza cha msimu ktk ligi.
Asanteni.
Mapovu ruksa.
...tena meli double decker!!Kama mjuavyo Anfield ni uwanja mgumu sana kwa Man Utd, Meneja wa Man Utd Jose Mourinho anawakosa wachezaji muhimu kama Pogba na Fellaini lwenye idara ya kiungo. Hivyo namuona Jose kesho atakavyojihami kwa kupaki Meli na wala sio basi tena ili kuzuia kasi ya Liverpool.
Nategemea kesho wachezaji kama Darmian, Ashley Young na Lingard kuanza first eleven huku muda mwingi wakikaba sana katka formation ya 7-3-0
Martial hana nafasi kwa mechi ya kesho kwa akili za Jose.
Pamoja na mbinu zote za kujihami zitakazotumiwa na Jose, Man Utd kesho atafungwa na kupata kipigo chake cha kwanza cha msimu ktk ligi.
Asanteni.
Mapovu ruksa.
Carrick majeruhi ndugu,hatokuwepo kwa mujibu Wa Mwl.Umesahau kuwa kuna Herrera kwenye midfield. Benchi yupo Blind na Carrick km backup.
Mbele wapo wote.Mkienda mmekariri mtaumizwa vibaya muno
Tutaona na kale kamsemo...Mwl. Amesema kesho atatumia mfumo Wa 1-0-9. Kuhusu atmosphere ya An field amesema yeye na wachezaji wake kamwe hawajawahi kutamani kucheza kwenye uwanja usiochangamka.
YNWA..........😛Kama mjuavyo Anfield ni uwanja mgumu sana kwa Man Utd, Meneja wa Man Utd Jose Mourinho anawakosa wachezaji muhimu kama Pogba na Fellaini lwenye idara ya kiungo. Hivyo namuona Jose kesho atakavyojihami kwa kupaki Meli na wala sio basi tena ili kuzuia kasi ya Liverpool.
Nategemea kesho wachezaji kama Darmian, Ashley Young na Lingard kuanza first eleven huku muda mwingi wakikaba sana katka formation ya 7-3-0
Martial hana nafasi kwa mechi ya kesho kwa akili za Jose.
Pamoja na mbinu zote za kujihami zitakazotumiwa na Jose, Man Utd kesho atafungwa na kupata kipigo chake cha kwanza cha msimu ktk ligi.
Asanteni.
Mapovu ruksa.
Hako kamsemo kapo tangu ligi hii inaanza ndugu, lakini mambo bado magumuTutaona na kale kamsemo...
eti!?!?! ufungue account mpya tu..Beki zenyewe za kina Moreno na Matip... Kesho Liverpool mnachezea za kutosha. United wapo kwenye form sana. Kesho Liverpool ikipata shots on target hata mbili nahama JF.
Duh maisha haya dikutegemea Kama kuna muda tunakuwa pamoja kiasi hiki..Lukaku wangu kesho Kama kawa
Mungu ibariki Man U