mjini patulie walau
mjini patulie walau
View attachment 223300yeboyebo
vs
View attachment 223301wana kuchele
Historia ya Ugenini Inawabeba Ndanda FC
Kama kawa naelekea uwanjani...........
Bantu Lady, Masuke, Shark, Revocatus Kashaja, Grafani, Bello, Sembu, Mkolaj na Makoye Matale (leo siyo Sabato), yahoo etc chukueni jahazi la kutuarifu yanayojiri .............
Utabiri murua huu na ubaki kama ulivyo.
Ndanda kumfunga yanga ni sawa na paka kumkimbia panya.
Ndanda kumfunga yanga ni sawa na paka kumkimbia panya.
kama kuanzia viongozi, makocha na wachezaji takribani 23 kati ya 27 walionao ndanda fc ni wapenzi wakubwa wa yanga leo unategemea nini taifa? twendeni tu kwakuwa hatuna pa kwenda ila leo kuna karamu ya magoli taifa. umeshamwona mmakonde anaipenda simba? wengi wao ni yanga lia lia na wanaipenda yanga kuliko hata hiyo gesi mnayodai ipo huko ntwara.
Utabiri murua huu na ubaki kama ulivyo.
Au ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Usijali mkuu Amavubi,View attachment 223300yeboyebo
vs
View attachment 223301wana kuchele
Historia ya Ugenini Inawabeba Ndanda FC
Kama kawa naelekea uwanjani...........
Bantu Lady, Masuke, Shark, Revocatus Kashaja, Grafani, Bello, Sembu, Mkolaj na Makoye Matale (leo siyo Sabato), yahoo etc chukueni jahazi la kutuarifu yanayojiri .............