masijala
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 280
- 425
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ulisikia jokate amealikwa kwenye hiyo event?? Huyo alikuwa anatuambia lazima tujue kutofautisha kati ya wasoma namba na wasioisoma namba, habari za team fulani mara team fulani hiyo inafanya uonekane unamawazo yaleyale kila kukicha, suala la kupewa bendera ya nchi fulani tulishaachana nayoNashangaa Diamond kufika tu Gabon kapewa hadi bendera ya taifa,lakini Joketi kafika hadi marekani lakini hajapewa bendera na waziri kisa yuko karibu na king kiba,huu uteam naona sasa umeingia hadi kwa viongozi wakubwa!