Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

........zo! baada ya kuingia chumbani kuikwamua kanda iliyokwama.
 
Kwani kusaga wa clouds ana elimu gani
 
Paskali tofautisha baina ya "interesting story" na "brilliance"; that guy is a dumbass, period. Fuatilia michango yake bungeni tangu aingie mpaka keshokutwa, kama hafanyi mizaha basi kazi yake ni kutukana Wapinzani especially Mbowe, Lissu au Halima, katika utatu wa kijinga Kibajaji, Msukuma na Mlinga! In fact tukisimamia kwenye michango yao bungeni Msukuma is a more brilliant of the trio!
 
Kibajaji alikuwa MC, ukiisikiliza the story ya maisha yake, utakubaliana na mimi, huyu jamaa ni very intelligent, shule aliishia darasa la 3, mkewe akaishia 4, wakaungana ndio ikawa la 7. Kabla ya ujio wa Wazungu, mababu zetu hawasoma hata darasa moja, bali were very intelligent. Kuna watu wana akili ila hawakubahatika kusoma for lack of opportunity na sio kwa ukilaza.
Kibajaji ni very brilliant!.
P
 

Guys,
Hakuna kitu kinaudhi kama kuona hawa Wabunge wasiokwenda shule Class 7 wanavo watukana Wabunge wasomi kiwango cha Professors kama kina Prof.Muhongo, Prof.Maghembe, Prof. Kabudi etc! Msukuma na Kibajaji ni Wabunge wapuuzi kuliko! Inaonesha chuki za wazi kabisa Darasa la 7 dhidi ya Professors Wasomi!! Sielewi hi dharau inatoka wapi???
Ajabu ni kwamba Spika Very likely Ndugai anatetea huu ujinga kwa vile hana Doctorate wala PhD...!!!

In future kuna haja ya NEC kubadilisha SIFA ZA WAGOMBEA UBUNGE ianzie angalao Form 4 not class 7 wanatia aibu sana hawa vihiyo Darasa la 7! Shame on them....!!
 
Paskali tofautisha baina ya "interesting story" na "brilliance"; that guy is a dumbass, period! In fact tukisimamia kwenye michango yao bungeni Msukuma is a more brilliant of the trio!
Msukuma pia niliifuatilia story yake, kiukweli I serious doubt utimamu wake.
P
 
Paskali tofautisha baina ya "interesting story" na "brilliance"; katika utatu wa kijinga Kibajaji, Msukuma na Mlinga! In fact tukisimamia kwenye michango yao bungeni Msukuma is a more brilliant of the trio!
Mlinga pia sio mzima kabisa
P
 

P,
Tusitetee ujinga karne hii ya 21. Kibajaji, Msukuma, Mlinga wanabebwa na CCM kwa ajili ya kupeleka mashambulizi kwa Wapinzani and nothing else!!!
Haya majitu hayana hoja ZOZOTE za kujenga nchi Kiuchumi, kisiasa au kiulinzi acha elimu ambayo iliwapitia pembeni kwa kukosa akili!!!
Kama wana akili kweli mbona kuna fursa za kujiendeleza wakasoma mpaka F4 then Open University wakafikia hata level ya Doctors. Mbona hawafanyi hivo kama wana akili?? Tusitetee wajinga wanaotukana wasomi please!!

Nina hakika hao jamaa Kibajaji au Msukuma ikipitishwa inspection hapo Bungeni nina hakika utakuta jamaa mwili mzima umejaa CHALE, HIRIZI(IC) kwapani na viunoni!!!
Ogopa sana mijitu inayoishi au kutegemea NGUVU ZA GIZA!!
 
Mnao andikaga kiswaenglish hata hamnaga lolote mnalojua
 
Tusidharau watu kwa elimu ya mzungu ya darasani, watu wana elimu ya asili ni kubwa na inawasaidia kuendesha maisha vizuri kuliko hata ma PhD holders!.
P
 
Unamjua mtu ambaye hajui kitu anaweza kuwa na confidence kubwa sababu yupo yupo tu kushinda anayejua maana anayejua huwa na uoga kwenye approach zake. Lakini haiondoi ukweli kwamba huyo jamaa ni mjinga sana
 
Unamjua mtu ambaye hajui kitu anaweza kuwa na confidence kubwa sababu yupo yupo tu kushinda anayejua maana anayejua huwa na uoga kwenye approach zake. Lakini haiondoi ukweli kwamba huyo jamaa ni mjinga sana
Naendelea kusisitiza, tusidhsrau watu kwasababu ya ukosefu wa elimu ya darasani na papers qualifications!. Kuna elimu mbili na faida mbili za elimu hizo. Elimu ya kwanza ni elimu ya maisha, na elimu ya darasani. Elimu ya maisha ni wale ambao wana elimu ya nature ambao hawakubahatika kupata elimu ya darasani ya papers qualifications, lakini wameyapatia sana maisha, they are successful, wanaishi maisha bora, nyumba nzuri, gari zuri, kula vizuri, miradi kibao ya investments etc. Hawa ndio kina Kibajaji, Kishimba, Musukuma, Bakhresa and the like, ni darasa la Saba lakini wamefanikiwa.

Na kuna watu wamesoma sana, wana elimu kubwa ya darasani, wengine hadi Ph.D, wana ma vyeti ya kutishia, lakini zote hizi ni papers qualifications, lakini maisha yanawapiga!. Hawa ndio kina Dr. Shika!. Wengine ni ma rugged trousers philanthropists, tunawajua.

Hivyo the value ya elimu ni kuyawezea maisha na kusaidia wengine. Kama mtu ameelimika vizuri sana with papers qualifications lakini maisha yanampiga na hasaidii jamii, na mwingine ni darasa la Saba aliye win, who is better?.
P
 
PHD holders wanaongea nonsense, ndio maana wanadharauliwa. Yaani ukiwasikiliza wasomi wengi walioingia kwenye siasa utatamani usisomeshe wanao
 
Mimi naunga mkono hoja za Spika.
P
 
Nilimfamu yangu akiwa chadema . Tulipoteana punde nikasikia ni mbunge, tukakutana pale Kawe , nikamuuliza ubunge umeupataje? Alichonijibu " Mimi Ni professor wa elimu dunia ." Hongera kibajaji, una upeo mkubwa wa mambo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…