babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
We chawa tulia, sisi ndio tumeshakubali Mangungu ndio mwenyekiti wetu.Kakojoe ulale mumeo atashinda na njaa hiyo kesho
Uchaguzi wenu haukuwa na wagombea.Mlilazimishwa kumchagua Hersi Said kuwa Rais.Mpinzani wake alikuwa "stuli".Ikiwa kesho ndio tarehe ya uchaguzi mkuu wa viongozi wa klabu ya Simba, shime kwa wanachama wote wa Simba ambao wamelipia kadi zao kesho tujitokeze Kwa wingi kumchagua ndugu yetu Murtaza Mangungu Kwenye nafasi ya Uwenyekiti wa klabu yetu kwani ametenda makubwa na ndio mbeba maono wa klabu yetu kufikia mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja.
Pia chonde chonde wale wanachama ambao bado hamjalipia ada, muda bado upo wakulipia ada kadi zenu ili kesho kwa pamoja tukahakikishe ndugu yetu Mangungu anapata nafasi nyingine tena ya kuiongoza klabu yetu.
In Mangungu We Trust [emoji123][emoji123]
[emoji881][emoji881] Nguvu Moja
Pamoja na ugeni wa I'd hii ila haiondoi Ukweli kuwa Murtaza Mangungu ni kiongozi Bora zaidi Kwa Sasa pale Simba. Tumpe kura za ndio kwani hakuna kama yeye[emoji3577][emoji123][emoji1732]Umejoin January 2023 unajifanya Mwanasimba humu. Na uchaguzi ukiisha ID inaisha. Wanasimba mkataeni huyu akajipie kura mwenyewe
Chawa? Kadi nnayo naenda mchinjia mbali hiyo keshoWe chawa tulia, sisi ndio tumeshakubali Mangungu ndio mwenyekiti wetu.
Sasa kwa ushauri wa Bure acha kupoteza iyo kura. Kupiga kura upande unaoenda kushindwa Tena kifo Cha mende ni kuikosea kura Yako. Chagua Mangungu Kwa maendeleo ya Simba[emoji881][emoji881]Chawa? Kadi nnayo naenda mchinjia mbali hiyo kesho
Bado upo machinjioni mkuu?Chawa? Kadi nnayo naenda mchinjia mbali hiyo kesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechinjiliwa mbali wewe mbwa kokoChawa? Kadi nnayo naenda mchinjia mbali hiyo kesho
Azipatie wapi mkuu? Simba ina wenyeweNaombeni kujua iwapo yule dada mzuri
Pendo Aidan Mapugilo
alifanikiwa kupata kura za kuwa mjumbe wa Bodi?
Azipatie wapi mkuu? Simba ina wenyewe
Mkuu, kwani uji na chapati ni chakula kibaya au kilicho duni? Mbona wengine chapati ndio breakfast yenyewe ukiwekewa na maharage pembeni?... Timu apewe mwina kaduguda ili muendelee kula uji na chapati kama zamani
Ndio unataka nikuchinje na wewe?Bado upo machinjioni mkuu?
Mbwa koko kuliko yule aliewaita luc eymael? Mnapenda kubweka bweka hovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechinjiliwa mbali wewe mbwa koko
Mbona Mangungu ana dunda au umechijwa weweNdio unataka nikuchinje na wewe?
Nakusalimia tu[emoji2772]Ndio unataka nikuchinje na wewe?