babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Ikiwa kesho ndio tarehe ya uchaguzi mkuu wa viongozi wa klabu ya Simba, shime kwa wanachama wote wa Simba ambao wamelipia kadi zao kesho tujitokeze Kwa wingi kumchagua ndugu yetu Murtaza Mangungu Kwenye nafasi ya Uwenyekiti wa klabu yetu kwani ametenda makubwa na ndio mbeba maono wa klabu yetu kufikia mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja.
Pia chonde chonde wale wanachama ambao bado hamjalipia ada, muda bado upo wakulipia ada kadi zenu ili kesho kwa pamoja tukahakikishe ndugu yetu Mangungu anapata nafasi nyingine tena ya kuiongoza klabu yetu.
In Mangungu We Trust [emoji123][emoji123]
[emoji881][emoji881] Nguvu Moja
Pia chonde chonde wale wanachama ambao bado hamjalipia ada, muda bado upo wakulipia ada kadi zenu ili kesho kwa pamoja tukahakikishe ndugu yetu Mangungu anapata nafasi nyingine tena ya kuiongoza klabu yetu.
In Mangungu We Trust [emoji123][emoji123]
[emoji881][emoji881] Nguvu Moja