KERO Liwale Lindi; Umeme unakatika kila siku, nina mwaka wa pili sijaona umeme ukiwaka siku nzima

KERO Liwale Lindi; Umeme unakatika kila siku, nina mwaka wa pili sijaona umeme ukiwaka siku nzima

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4
Reaction score
7
Hivi jamani ndugu zetu tatizo la umeme na sehemu nyingine mnazoishi ni hivi hivi kama huku tulipo sisi maana huku Wilaya ya Liwale Mkoa wa Lindi siku umeme ukiwaka kutwa nzima kuanzia asubuhi hadi usiku kila mtu anashangaa unahisi umeme una tatizo.

Yaani tushazoea kila siku umeme kukatika, yaani hakuna siku ikaisha bila umeme kukatika.

Nina mwaka wa pili sijawahi kukaa siku nzima umeme ukawaka asubuhi hadi usiku.

Pia soma TANESCO yaomba radhi umeme kukatika mara kwa mara Lindi na Mtwara, yasema kuna kazi ya kufunga Mifumo Mipya
 
Bora huko,kuna Nyasa Dc mkoa wa Ruvuma aisee ni kisanga kwa siku wanakata mar 1,000,000 mpaka wana kera
 
Shida mikoa ya Kusini mnaikumbatia mno CCM, hayo ndo matokeo yake
Basoutu (Manyara), umeme unakatika sana.
Nchi za kiafrika za ovyo sana. Tangu kipindi cha uhuru mpaka sasa matatizo yale yale umeme, elimu, maji, umeme, afya, barabara na matundu ya choo.
Haya ndiyo matokeo ya kuiba kura na kutofuata sheria
 
Ila hii nchi ni kubwa sana jamani, maana kuna maeneo unaweza kaa hata miaka mitano haujasikia yakitajwa...🤣
Hali hii ipo wilaya ya Masasi pia.....tangu umeme umeunganishwa kijijini kwetu sujawahi ona umeme unapatikana ndani ya masa 24 bila kukatwa!!! mwaka sasa
 
Shida mikoa ya Kusini mnaikumbatia mno CCM, hayo ndo matokeo yake
Kuna Mkoa ambao CCM hawapo..? hiki chama kimechukuwa Tz nzima na kinamiliki Dola. Utakikimbiaje.?
Sema tu hii miji midogomidogo Ina changamoto sana bila kusahau ni miji iliyojificha sana,, Iko pembezoni kabisa
 
Shida mikoa ya Kusini mnaikumbatia mno CCM, hayo ndo matokeo yake

Hivi jamani ndugu zetu tatizo la umeme na sehemu nyingine mnazoishi ni hivi hivi kama huku tulipo sisi maana huku Wilaya ya Liwale Mkoa wa Lindi siku umeme ukiwaka kutwa nzima kuanzia asubuhi hadi usiku kila mtu anashangaa unahisi umeme una tatizo.

Yaani tushazoea kila siku umeme kukatika, yaani hakuna siku ikaisha bila umeme kukatika.

Nina mwaka wa pili sijawahi kukaa siku nzima umeme ukawaka asubuhi hadi usiku.

Pia soma TANESCO yaomba radhi umeme kukatika mara kwa mara Lindi na Mtwara, yasema kuna kazi ya kufunga

Shida mikoa ya Kusini mnaikumbatia mno CCM, hayo ndo matokeo yake
Kusini ya Lindi na Mtwara aijawakumbatia CCM labda Ruvuma na Nyanda za juu Kusini, na hata hvyo ndani ya miaka hii kadhaa ebu tueleze we mwenzetu upo mkoa gani ambapo CCM awapo kwenye ngazi za uongozi kuanzia chini hadi Serikali kuu🤷‍♂️
 
Sisi huku ukiona umeme umekatika, ujue kuna matengenezo sehemu, zaidi ya hapo hakuna kukatika umeme. Huku umeme unaweza kukatika labda mara 1 pengine kwa miezi 2.
 
Mwisho wa dunia huko umeme wa nini
Huku kuna Rasilimali nyingi na njia nyingi za kupiga hela binafsi nimezaliwa Muhimbili nimekulia Magomeni nimesoma Sinza Mapambano msingi secondary nikasoma Kariakoo Kidongo chekundu Dar Sec ila nipo huku mwaka wa tatu sitoki ng'ooooo, huku kuna machimbo ya madini mashimo futi sita saba chini unapata dini unapiga hela huku biashara zinafanyika hatari, wazungu wamejazana huku, kuna Serou za wanyama pori yaani mafulsa kibao ya kupiga pesa.... Sasa we kaa hvyo hvyo sema mwisho wa Dunia usiishi kwa kukalili Man tembea ujionee
 
Back
Top Bottom