Liwalo liwe, kila mtu na lwake!

Liwalo liwe, kila mtu na lwake!

kila nyani ashikilie tawi lake-tunachapa mwendo kwa slogan hiyo
 
hii ndio Tanzania yetu, ila kwa mapenzi ya Mungu na nia thabiti tutawang'oa watawala kwa sanduku la kura.
 
Rev. Kishoka
Nimesoma post yako nimekuelewa lakini sitaki kuamini kwamba kila Mtanzania akiwa na notion ya kwako kweli tutajikwamua kwenye haya matatizo yaliyopo. Na hali hii itapelekea hata wananchi kuacha kushiriki kwenye zoezi la kuchagua viongozi thabiti. Lakini pia nimesoma thread zako nyingine nimeshindwa kujua msimamo wako kwenye mustakabali wa nchi yako hasa kwenye nyanja ya siasa ambayo ndio inalinda mifumo mingine yoyote. Nashawishika kuamini kuwa unabadilika lakini sijajua unabadilikia mrengo gani.
Nway lengo sio kukujadili ila ni kujadili post yako kuwa kila mtu na lwake. Siamnini dhana hii kwasababu bado tunahitaji kusimama kwa umoja wetu na kuleta mabadiliko chanya. Sijui kwanini umeamini hivyo labda ni kwasababu unaishi ng'ambo ambako hadi umesahau umoja wa Watanzania. Mimi ninayeishi uku kijijini najua kinachoendelea na matumaini waliyonayo Watanzania kila kuchapo sasa wewe ukiamka na kutamka maneno haya sijui unamaanisha nini na unataka watu waelewe nini?
Ni mtazamo wako binafsi ninauchukulia kama msimamo wako lakini bado naamini wewe umechukua mtazamo wa karibu sana na hitimisho ulilotoa sio sahihi kwa mazingira ya Kitanzania labda msimamo wako umechochewa na muda na kile ambacho umekipata uko ng'ambo ya nchi.
Karibu tena Tanzania and dont trust in anyone labda ndio maana unakata tamaa mapema mtumishi
 
Rev. Kishoka
Nimesoma post yako nimekuelewa lakini sitaki kuamini kwamba kila Mtanzania akiwa na notion ya kwako kweli tutajikwamua kwenye haya matatizo yaliyopo. Na hali hii itapelekea hata wananchi kuacha kushiriki kwenye zoezi la kuchagua viongozi thabiti. Lakini pia nimesoma thread zako nyingine nimeshindwa kujua msimamo wako kwenye mustakabali wa nchi yako hasa kwenye nyanja ya siasa ambayo ndio inalinda mifumo mingine yoyote. Nashawishika kuamini kuwa unabadilika lakini sijajua unabadilikia mrengo gani.
Nway lengo sio kukujadili ila ni kujadili post yako kuwa kila mtu na lwake. Siamnini dhana hii kwasababu bado tunahitaji kusimama kwa umoja wetu na kuleta mabadiliko chanya. Sijui kwanini umeamini hivyo labda ni kwasababu unaishi ng'ambo ambako hadi umesahau umoja wa Watanzania. Mimi ninayeishi uku kijijini najua kinachoendelea na matumaini waliyonayo Watanzania kila kuchapo sasa wewe ukiamka na kutamka maneno haya sijui unamaanisha nini na unataka watu waelewe nini?
Ni mtazamo wako binafsi ninauchukulia kama msimamo wako lakini bado naamini wewe umechukua mtazamo wa karibu sana na hitimisho ulilotoa sio sahihi kwa mazingira ya Kitanzania labda msimamo wako umechochewa na muda na kile ambacho umekipata uko ng'ambo ya nchi.
Karibu tena Tanzania and dont trust in anyone labda ndio maana unakata tamaa mapema mtumishi

Sipo,

Kuwa honest, unaishi kijiji gani Bongo? ambako kuna amani ya kweli, umoja wa kweli, uhuru, haki na uwajibikaji wa kweli? Kila pahala TZ kuna purukushani mkuu! Wewe unaishi bongo ipi ambayo ni tambarare kwa kila mmoja? Bongo ''ya kufikirika'' au bongo nayoijua mimi?
 
kila nyani ashikilie tawi lake-tunachapa mwendo kwa slogan hiyo
Mpwa, nilidhani hupendi stress, huku umefata nini lakini? au kwa vile thread inaunga mkono kaulimbiu yetu kule kwetu kuleee.
 
Rev. Kishoka
Nimesoma post yako nimekuelewa lakini sitaki kuamini kwamba kila Mtanzania akiwa na notion ya kwako kweli tutajikwamua kwenye haya matatizo yaliyopo. Na hali hii itapelekea hata wananchi kuacha kushiriki kwenye zoezi la kuchagua viongozi thabiti. Lakini pia nimesoma thread zako nyingine nimeshindwa kujua msimamo wako kwenye mustakabali wa nchi yako hasa kwenye nyanja ya siasa ambayo ndio inalinda mifumo mingine yoyote. Nashawishika kuamini kuwa unabadilika lakini sijajua unabadilikia mrengo gani.
Nway lengo sio kukujadili ila ni kujadili post yako kuwa kila mtu na lwake. Siamnini dhana hii kwasababu bado tunahitaji kusimama kwa umoja wetu na kuleta mabadiliko chanya. Sijui kwanini umeamini hivyo labda ni kwasababu unaishi ng'ambo ambako hadi umesahau umoja wa Watanzania. Mimi ninayeishi uku kijijini najua kinachoendelea na matumaini waliyonayo Watanzania kila kuchapo sasa wewe ukiamka na kutamka maneno haya sijui unamaanisha nini na unataka watu waelewe nini?
Ni mtazamo wako binafsi ninauchukulia kama msimamo wako lakini bado naamini wewe umechukua mtazamo wa karibu sana na hitimisho ulilotoa sio sahihi kwa mazingira ya Kitanzania labda msimamo wako umechochewa na muda na kile ambacho umekipata uko ng'ambo ya nchi.
Karibu tena Tanzania and dont trust in anyone labda ndio maana unakata tamaa mapema mtumishi

Sipo,

Wakati FMES akisema kuwa Viongozi wetu ni kuakisiwa kwa Taswira zetu kama wananchi, kisha Mkandara akasema watu na Mazingira na Nyani Julius kumalizia kwa kusema Miafrika ndivyo Tulivyo, ni kauli nilizokuwa najua zina ukweli wndani yake, ila sikutaka kuzipa kipaumbele au kuzihalalisha bila kwenda kuona hali halisi iliyoko nyumbani.

Nimesema liwalo liwe na kila mtu na lwake, kwa maana Tanzania ndivyo tunavyojiendesha sasa hivi. Kwa takriban miaka 20, Tanzania imekosa DIRA ya kueleweka, iwe ni kisiasa, kiuchumi au kijamii!

Tumekaa kiujanjaujanja alimradi kunakucha na kunakuchwa na tunamalizia na HEWALA!

Kama Tanzania ingekuwa makini na inayojitambua kuwa ni lazima iwe na mpangilio na mfumo thabiti, leo hii kule Changanyikeni, Makongo na Survey ambako wako Wasomi waliobobea Tanzania, kusingekuwa ni vurugu mechi iliyoko. Wasomi wote waliojenga maeneo hayo wangetumia taratibu za mipango miji na kujenga makazi yao kwa ustadi na hivyo kulifanya eneo zima linalozunguka CHuo Kikuu kuonekana kuwa ni makazi ya watu walioelimika.

Sasa huo ni mfano mdogo sana sawa na chembe ya ufuta kukuelewesha kuwa kila kitu kinafanyika kivyakevyake Tanzania!

Umehohoji kuwa sieleweki, je nikieleweka ndipo Tanzania itanyooka?

Ikiwa Nyerere mpaka leo hii hatuelewi alichokuwa akisema na wengine wetu hata Yesu hatuelewe alichokuwa akisema, iweje msalaba wa kugeuza nadhiri na uelewa wa Watanzania uwekezwe katika mabega ya Rev. Kishoka?

Nimetumia fasihi, mzaha, ukali masikhara, kubeza na hata matusi kuonyesha msimamo wangu na kujieleza kwa ufasaha, je hilo halitoshi kueleweka kuwa Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu kama mzee mwinyi alivyosema na hvyo kuhalalisha kauli yangu kuwa "Liwalo Liwe, Kila Mtu na Lwake" ?
 
Rev. Kishoka,
Mkuu waneno mazito sana... narudi Bongo najiandaa vya kutosha ktk kila mtu la Lwake!
 
Back
Top Bottom