Liwalo na liwe

Ndio utie akili siku nyingine kutoa shobo kwa kila mtu.
 
Ndio utie akili siku nyingine kutoa shobo kwa kila mtu.
Alikuwa anfurahia mauaji ya vitoto Gaza naona kikosi sasa imemuandama kwa yale aliyokuwa anfurahia mpaka nachanganyikiwa.
 
Bangi mbichi mbaya sana🤣🤣🤣🤣
 
Nini maana ya chuki yako ilhali kaburi lako hutachimba , maiti hutajiosha wala mchanga huta funika mwenyewe?
 
Uzi wako huu unatia motisha kwa vijana kuondokana na stress inakuwa simple tu "Liwalo na liwe"
 
Ghayo kachafukwa nafsi😀😀😀.
 
Mbrrrrrrrrrrr
Kulikoni?
Kuna mtu amekuingiza chaka?
Pole sana, ulikuwa unatuma hela ujengewe, halafu ndugu walikuwa wanaenda kuilia bata
 
Mtu kashapigwa utosini na kitu kizito, butu na chenye ncha butu, woiih! Ambulance please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…