Liyumba vs Rostam nani mchapa kazi?

Liyumba vs Rostam nani mchapa kazi?

Semilong

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
1,711
Reaction score
220
Liyumba na Kweka kazi zao tumeona leo Benki Kuu ukumbi na majengo ni mazuri sio second hand na hajalipuliwa. Ukumbi wa mikutano mzuri.

Swali inakuaje HR Manager na Project Manager wapitishe matumzi ya hela nyingi bila board of directors (huu ni uongo). Inamaanisha wao wamechukua hizo hela bila Finance Director (siamini). Kama hawakula hela mbona walikaa kimya siku zote hizo.

Liyumba ka-share hela dada kibao pale wa mjini ana roho nzuri hakula peke yake.

Rostam kila kitu ni cha hali ya chini, majenerator si chochote...

Mwisho Liyumba ndani, Rostam nje, halafu magazeti yake na ya serikali yanamfanya Liyumba mtuhumiwa mkuu ili wengine wasahaulike.

Watuhumiwa wote wamepewa dhamana kasoro hawa wawili na hawajala peke yao
 
Last edited:
Liyumba na Kweka kazi zao tumeona leo Benki Kuu ukumbi na majengo ni mazuri sio second hand na hajalipuliwa. Ukumbi wa mikutano mzuri.

Swali inakuaje HR Manager na Project Manager wapitishe matumzi ya hela nyingi bila board of directors (huu ni uongo). Inamaanisha wao wamechukua hizo hela bila Finance Director (siamini). Kama hawakula hela mbona walikaa kimya siku zote hizo.

Liyumba ka-share hela dada kibao pale wa mjini ana roho nzuri hakula peke yake.

Rostam kila kitu ni cha hali ya chini, majenerator si chochote...

Mwisho Liyumba ndani, Rostam nje, halafu magazeti yake na ya serikali yanamfanya Liyumba mtuhumiwa mkuu ili wengine wasahaulike.

Watuhumiwa wote wamepewa dhamana kasoro hawa wawili na hawajala peke yao

Umesahau kwamba uchaguzi ni mwakani?. Hii yote danganya toto alale ili wakubwa wafanye vitu vyao. Liumba na Kweka wametolewa kafara ili mbele ya wadanganyika ionekane kwamba kweli mafisadi wanashughulikiwa, lakini ukweli ni kwamba Liumba na Kweka ni dagaa wadogo sana katika bahari ya mafisadi, papa na nyangumi hawajaguswa na hawataguswa.
 
Umesahau kwamba uchaguzi ni mwakani?. Hii yote danganya toto alale ili wakubwa wafanye vitu vyao. Liumba na Kweka wametolewa kafara ili mbele ya wadanganyika ionekane kwamba kweli mafisadi wanashughulikiwa, lakini ukweli ni kwamba Liumba na Kweka ni dagaa wadogo sana katika bahari ya mafisadi, papa na nyangumi hawajaguswa na hawataguswa.

Hivi kama wametolewa kafara kule mahakamani kwanini wasimwage yooooote wayajuayo?
 
Hivi kama wametolewa kafara kule mahakamani kwanini wasimwage yooooote wayajuayo?


Hata akimwaga ukweli nani atamsilikiza?. Na hata akisikilzwa nini kitafanywa kwa wahusika?.

Nani asiyejua kwamba Mkapa, Yona, Mramba, Rostam, Chenge, Iddris Rashidi na Mgonja ni Mafisadi yaliyo komaa?. Je unajua kwanini mpaka leo yako huru?
 
Kuchapa kazi kupo kwa namna nyingi. Huwezi kuniambia eti Twin Tower inatakata kwa sabau ya Liyumba sijui lijumba au kwa sababu ya mtu yeyote. Kimsingi ile NI KODI YETU SISI WALALAHOI, na mtu asijifie kwa lolote.

Kama mtu anaweza kusimamisha Twin Tower nyingine, afanye hivyo kwa kutumia pesa yake, nasi hakika tutamsifia.
 
Kuchapa kazi kupo kwa namna nyingi. Huwezi kuniambia eti Twin Tower inatakata kwa sabau ya Liyumba sijui lijumba au kwa sababu ya mtu yeyote. Kimsingi ile NI KODI YETU SISI WALALAHOI, na mtu asijifie kwa lolote.

Kama mtu anaweza kusimamisha Twin Tower nyingine, afanye hivyo kwa kutumia pesa yake, nasi hakika tutamsifia.

Kitu kimeonekana kimefanyika ingawa kaiba. Rostam na kundi lake wamefanya nini zaidi ya kuiba?
 
Back
Top Bottom