Liyumba (wa BoT) na wenzake kizimbani Kisutu

Liyumba (wa BoT) na wenzake kizimbani Kisutu

Kiranja

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2007
Posts
751
Reaction score
336
Kuna taarifa kwamba Liumba wa BoT atapanda kizimbani Kisutu muda si mrefu, anapelekwa na Takukuru, inawezekana ni ile kesi ya kikiuka taratibu za ajira kwani ndiye aliyeajiri watoto wa vigogo
 
Kuna taarifa kwamba Liumba wa BoT atapanda kizimbani Kisutu muda si mrefu, anapelekwa na Takukuru, inawezekana ni ile kesi ya kikiuka taratibu za ajira kwani ndiye aliyeajiri watoto wa vigogo

Tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao. Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu
 
Hii hatua ya kumfikisha huyu Bwana mahakamani ingeenda sambamba na kusimamishwa kazi kwa watoto wote wa vigogo walioajiriwa bila kufuata taratibu na wala sio wale waliopelekwa mahakamani some few months ago. Kuna ukweli ulio wazi kwamba watoto wengi wa vigogo waliajiriwa kwa kwenda na vimemo tu. Ningeshauri ifanyike Human Resources Audit (ifanywe na independent firm) ya nguvu pale BOT ili kuona kama kweli taratibu zilifuatwa wakati watoto hao wa vigogo wanaajiriwa. Nina uhakika hawa hawakutoa rushwa hata kidogo hivyo suala la kuajiriwa kwao halipashwi kuhusishwa na rushwa.
 
Jamani hao watoto wa vigogo hawakutoa rushwa. Vilitumika vimemo na simu. Sasa je vinaweza kutumiwa kama ushahidi???? Sasa TAKUKURU wanamshtaki kwa kosa lipi la rushwa???? Mwishowe itaonekana hakuna ushahidi na kesi itafutwa, then ataanza kudai fidia!!!! Mambo ya mahakama yameshakuwa ni fashion tu sasa. Kila kitu mahakamani!!!???

Pengine kutakuwa na issue nyingine zaidi ya zile ajira za upendeleo. Tusubiri charge zitakazosomwa dhidhi yake. Asante mwanahabari wetu kwa kutuhabarisha hili tena.
 
Kuna taarifa kwamba Liumba wa BoT atapanda kizimbani Kisutu muda si mrefu, anapelekwa na Takukuru, inawezekana ni ile kesi ya kikiuka taratibu za ajira kwani ndiye aliyeajiri watoto wa vigogo
Safiiii safi sana...ila tu isiwe kiini macho
 
Tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao. Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu
Mkulu Halisi
I do salute you.
Unanikumbusha kipindi kile jamaa wa CNN walikuwa na reporter mmoja PETER ANNET anaripoti habari "wakati uleule inatokea".
 
Hii hatua ya kumfikisha huyu Bwana mahakamani ingeenda sambamba na kusimamishwa kazi kwa watoto wote wa vigogo walioajiriwa bila kufuata taratibu na wala sio wale waliopelekwa mahakamani some few months ago. Kuna ukweli ulio wazi kwamba watoto wengi wa vigogo waliajiriwa kwa kwenda na vimemo tu. Ningeshauri ifanyike Human Resources Audit (ifanywe na independent firm) ya nguvu pale BOT ili kuona kama kweli taratibu zilifuatwa wakati watoto hao wa vigogo wanaajiriwa. Nina uhakika hawa hawakutoa rushwa hata kidogo hivyo suala la kuajiriwa kwao halipashwi kuhusishwa na rushwa.
What about matumizi mabaya ya madaraka.
 
Jamani hao watoto wa vigogo hawakutoa rushwa. Vilitumika vimemo na simu. Sasa je vinaweza kutumiwa kama ushahidi???? Sasa TAKUKURU wanamshtaki kwa kosa lipi la rushwa???? Mwishowe itaonekana hakuna ushahidi na kesi itafutwa, then ataanza kudai fidia!!!! Mambo ya mahakama yameshakuwa ni fashion tu sasa. Kila kitu mahakamani!!!???

Pengine kutakuwa na issue nyingine zaidi ya zile ajira za upendeleo. Tusubiri charge zitakazosomwa dhidhi yake. Asante mwanahabari wetu kwa kutuhabarisha hili tena.
Mkulu haya mambo ni seriuos.WATU WAMEAGA FAMILIA ZAO KWAMBA WANAENDA KAZINI.
Na YES,WAPO KAZINI.NAWAONA HAKUNA ANAYESOMA GAZETI.
 
Hii hatua ya kumfikisha huyu Bwana mahakamani ingeenda sambamba na kusimamishwa kazi kwa watoto wote wa vigogo walioajiriwa bila kufuata taratibu na wala sio wale waliopelekwa mahakamani some few months ago. Kuna ukweli ulio wazi kwamba watoto wengi wa vigogo waliajiriwa kwa kwenda na vimemo tu. Ningeshauri ifanyike Human Resources Audit (ifanywe na independent firm) ya nguvu pale BOT ili kuona kama kweli taratibu zilifuatwa wakati watoto hao wa vigogo wanaajiriwa. Nina uhakika hawa hawakutoa rushwa hata kidogo hivyo suala la kuajiriwa kwao halipashwi kuhusishwa na rushwa.

Wakati mwingine kuwasimamisha wakati wana qualify kwa hiyo kazi si rahisi. Wale wa mwanzo suala lao lilikuwa rahisi, walikuwa wamedanganya elimu zao na kuwa na vyeti bandia. Kimemo chaweza kuwa rushwa, mtoo wa mkulima ama mfugaji kijijini akiandika kimemo mwanae ataajiriwa?, rushwa si lazima iwe fedha, zawadi nk. Bali kitu kitakachoangaliwa ni kujua kuwa kulikuwa na mazingira ya uvunjaji sheria (rushwa) wakati wa process nzima za kuajiriwa hao watoto wote wa vigogo kwa mpigo. Mfano wapi walitangaza hizo kazi?, wangapi waliapply?, usaili ulifanyika vipi na wapi?, nani walioongoza huo usaili?, na vipi elimu ya wahusika nk. Kuanzia hapo hata kama ilikuwa ni vimemo itajulikana kulikuwa na mazingira ya rushwa.
 
Ukisha kuajiriwa kufukuzwa eti kwa sababu utaratibu wa ajira haukufuatwa sio sahihi.

Mpaka hapa TAKUKURU wako sawa, anayetakiwa kujibu tuhuma ni huyo Liumba aliyesaini barua za ajira na sio hao walio ajiriwa.

Nadhani, kosa la kutumia madaraka vibaya ndilo atakalobebeshwa nalo Liumba na wenzake.
 
Jamani hao watoto wa vigogo hawakutoa rushwa. Vilitumika vimemo na simu. Sasa je vinaweza kutumiwa kama ushahidi???? Sasa TAKUKURU wanamshtaki kwa kosa lipi la rushwa???? Mwishowe itaonekana hakuna ushahidi na kesi itafutwa, then ataanza kudai fidia!!!! Mambo ya mahakama yameshakuwa ni fashion tu sasa. Kila kitu mahakamani!!!???

Pengine kutakuwa na issue nyingine zaidi ya zile ajira za upendeleo. Tusubiri charge zitakazosomwa dhidhi yake. Asante mwanahabari wetu kwa kutuhabarisha hili tena.

Rushwa si lazima utoe pesa pia ni kutumia ofisi au mamlaka kwa manufaa binafsi. Kwa hiyo kama vimemo na ushaidi wa simu utapatikana utakuwa ni ushahidi mzuri sana wa kuwatia hatiani hawa jamaa.
 
Haya , ila wasiwasi wangu ni je? hizi kesi zitafikia mwisho?

Hivi kwani ni lazima kesi zote za kifisadi ziende mahakama ya Kisutu? kwani watakuwa na kesi nyingi sana kiasi kwamba zitakuwa haziishi mpaka ukamilifu wa dahari.
 
Ukisha kuajiriwa kufukuzwa eti kwa sababu utaratibu wa ajira haukufuatwa sio sahihi.

Mpaka hapa TAKUKURU wako sawa, anayetakiwa kujibu tuhuma ni huyo Liumba aliyesaini barua za ajira na sio hao walio ajiriwa.

Nadhani, kosa la kutumia madaraka vibaya ndilo atakalobebeshwa nalo Liumba na wenzake.
Mkuu YY,

Jamaa (Liyumba na Deogratias Kweka) wanapandishwa kizimbani dhidi ya kashfa ya Twin Tower.

Nipo hapahapa Kisutu, nitawafahamisha kinachoendelea
 
na walioandika Vimemo na kupiga simu nao si wapo? basi nao wafikishwe mahakamani...
Tusidharau utawala wa sheria japo wengine tunaona Mahakamani tunapoteza muda..lkn kwakuwa hatuna alternative yake inabidi tuikubalia...otherwise tukiamua kujichukulia hatua mikononi....itakuwaje? au mtu akituhumiwa tu basi tu afungwe itakuwa chaos!!!
 
Liyumba alikuwa anamanage Directorate yenye the largest budget BOT. Estates i.e construction ya aina yeyote BOT ilikuwa chini yake. Legal service nayo ilikuwa kwake.Commission aliyokuwa anapata ilikuwa nzuri tu. Twin tower, Legal fees etc.
 
Mkuu YY,

Jamaa (Liyumba na Deogratias Kweka) wanapandishwa kizimbani dhidi ya kashfa ya Twin Tower.

Nipo hapahapa Kisutu, nitawafahamisha kinachoendelea

All this tells me the link btn kutoweka kwa Balali na sinema tunazoonyeshwa sasa hivi!!!!! Kazi ipo........
 
Haya , ila wasiwasi wangu ni je? hizi kesi zitafikia mwisho?.

Mkuu zifike mwisho ama zisifike wapo Kisutu, walizoea wanafanya wafanyavyo, walidhani wafikao Kisutu ni wale wanaosingiziwa kuiba Kuku tu. Kutakuwa kiasi fulani kuna heshima mtu akipewa majukumu. Vile vile kumbuka mwisho wa kesi unaweza kuwa mwanzo wa kesi nyingine, mtu akihukumiwa ikaonekana kuwa hukumu haikuwa ya haki, jamii (wapigania haki) wanaweza kukataa rufaa manake wana pa kuanzia. Vile vile kesi hushusha heshima, hata ukishinda, waache nao wajue mahakama ni nini.
 
Ama kweli ukishangaa ya Musa utaona ya firauni!!! Mbona Rais mstaafu wamemwacha kwenye hili la Twin Towers?
 
Ukisha kuajiriwa kufukuzwa eti kwa sababu utaratibu wa ajira haukufuatwa sio sahihi.

Mpaka hapa TAKUKURU wako sawa, anayetakiwa kujibu tuhuma ni huyo Liumba aliyesaini barua za ajira na sio hao walio ajiriwa.

Nadhani, kosa la kutumia madaraka vibaya ndilo atakalobebeshwa nalo Liumba na wenzake.


Mkuu Yebo Yebo, hii kauli yako haijatulia. Inabidi ufanye research zaidi. Huoni kwamba watu walikiuka maadali yao ya kazi?

Mfano mdogo: Unafikiri kwa nini watu wananyang`anywa degree zao ikigundulika kwamba waliingia kwa kuforge vyeti au kwa udanganyifu? hata kama wana first class? Bado degree zao zinakuwa withdrawn... Tukienda na theory zako..ingebidi walioingia kwa kuforge..basi waachwe tuu, maana shule wameifaulu vyema kabisa.

My argument is: From the beggining ni kwamba wote walifanya udanganyifu. Kwa hiyo wawajibishwe ipasavyo.

Masanja,
 
Back
Top Bottom