Lizzy: "JF Queen Of MMU - 2011"

Thank you guys. . .
Ingawa sina uhakika kama nimeshinda au nimepewa ushindi bado nashukuru woooote walionipigia kura na pongezi pia.Nikitoka huku busy niliko ntarudi kusoma post zenu nizijibu kama ambavyo ningependa.

Ahsanteni tena.

Lizzy - Q-MMU

Kwa mujibu wa Sheria na kanuni za uchaguzi umeshinda kwa kishindo.

JEC ni kamati yenye uadilifu wa hali ya juu na imezingatia, vigezo, hanauni, shera na taratibu. Zaidi ya hayo walio ku-nominate na kukupigia kura ni idadi kubwa sana sana.

So hongera sana Mkuu wangu.

Maelekezo ya kupata Zawadi yatatolewa kwa wote.
 
Jukwaa la Jokes la Jokes mnalitenga kwenye huu mshindano bhana,ina mana hatuna maana?
 
Hongera sana mamaa! Kwa raha zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…