ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu MZUMBE UNIVERSITY ni chuo bora sana hususan katika course za BAF(B,ACCOUNTING&FINANCE),HRM,NA LL,B kinachukua wanafunzi wazuri sana na wenye ufaulu mzuri kwenye hizo kozi na pia hapa MZUMBE kuna competent lecturers with PhD