ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
'Vileji iz beta zan tauni' debate.
Wakuu kumekuwa na maneno kwamba kwenye hivi vyuo vya MZUMBE na UDSM kwenye kozi ya SHERIA(LL,B) ndio wanashule ngumu sana kulinganisha na vyuo vyengine vya kata kama SAUT,RUCo,TUMAINI DAR,TUMAINI IRINGA,UDOM,MUCCoBS,MAKUMIRA, karibuni tujadili kwa kina juu ya ukweli wa huu uvumi
nani kakwambia Muccobs chuo cha kata mziki wake hata siku moja usifananishe na vyuo vinavyojiuza kwa majina tu bora ungesema kidogo SUA ningekuelewa ningekuelewa
labda useme kwa kozi moja moja kama law hapo sawa
Mimi naona MUCCoBS shule rahisi sanaa! tatizo ni kwamba chuo kinachukua division three wengi ambao uwezo wao ni mdogo ndio maana mnaona shule ngumu
wakuu kumekuwa na maneno kwamba kwenye hivi vyuo vya mzumbe na udsm kwenye kozi ya sheria(ll,b) ndio wanashule ngumu sana kulinganisha na vyuo vyengine vya kata kama saut,ruco,tumaini dar,tumaini iringa,udom,muccobs,makumira, karibuni tujadili kwa kina juu ya ukweli wa huu uvumi
nani kakwambia Muccobs chuo cha kata mziki wake hata siku moja usifananishe na vyuo vinavyojiuza kwa majina tu bora ungesema kidogo SUA ningekuelewa ningekuelewa
labda useme kwa kozi moja moja kama law hapo sawa
nani kakwambia Muccobs chuo cha kata mziki wake hata siku moja usifananishe na vyuo vinavyojiuza kwa majina tu bora ungesema kidogo SUA ningekuelewa ningekuelewa
labda useme kwa kozi moja moja kama law hapo sawa