ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu kumekuwa na maneno kwamba kwenye hivi vyuo vya MZUMBE na UDSM kwenye kozi ya SHERIA(LL,B) ndio wanashule ngumu sana kulinganisha na vyuo vyengine vya kata kama SAUT,RUCo,TUMAINI DAR,TUMAINI IRINGA,UDOM,MUCCoBS,MAKUMIRA, karibuni tujadili kwa kina juu ya ukweli wa huu uvumi