Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninavyoelewa mimi Google peke yao ndo wana ramani za Bongo ambazo zina angalau kidogo, lakini Google Maps hauwezi kuload ramani kwenye simu, simu inabidi iwe na internet connection kisha inavuta ramani kutoka kwenye mtandao, so internet ikikata ramani nayo hakuna.
Google Maps for mobile