loan allocation kwa wanafunzi wa second selection

loan allocation kwa wanafunzi wa second selection

de gscom

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
6
Reaction score
0
jamani kwa anae jua kama wanafunzi wa second selection wanaweza pata mkopo au hawawezi pata atoe taarifa au viewz zake kwa people
 
Aliyeomba, mwenye vigezo vinavyokubalika ndio anaweza kupata.Waliopata na waliokosa hawajajulikana,namanisha HESLB hawajafunguka kwa hiyo usihofu walioapply katika second round pia wanahusika kwenye mchakato kama waliomba, kama hawakuomba ni mpaka baadaye wakishapata chuo kama watakuwa na vigezo vinavyokubalika.
 
watapata ndo maana waliambiwa wacorrect information zao lkn vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
ila bana mwka wa jana wote waliochaguliwa second round hawakupata hata mia!
 
Back
Top Bottom