kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Vijana wengi form six leaver hawana card ya NIDA hivyo huanza kuitafuta pindi wamalizapo shule kwa ajili ya loarn application.
Hata hivyo card ya NIDA haipatikani ndani ya mda kinachopatikana ndani ya mda ni Namba. Tambueni hilo. Nyie ni ,mamlaka ya serikali hivyo mnajua kinachoendelea .
Tambueni na tumieni namba ya Nida kwa vijana ambao bado hawajapata kadi wapate mikopo .
Hata hivyo card ya NIDA haipatikani ndani ya mda kinachopatikana ndani ya mda ni Namba. Tambueni hilo. Nyie ni ,mamlaka ya serikali hivyo mnajua kinachoendelea .
Tambueni na tumieni namba ya Nida kwa vijana ambao bado hawajapata kadi wapate mikopo .