Loan board wasababisha hali ya hatari Jordan university

mr. over view

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
14
Reaction score
0
Wanachuo wa jordan university wametangaziwa hali ya hatari kwa kuitiwa askari wa kutuliza fujo FFU kuzunguka maeneo ya chuo kila wakati.

Hii nibaada ya kuzuka kwa tetesi kwamba wanataka kuandamana kutokana na kukosa pesa za kujikimu kutoka loan board.

Ni ushauri wangu kwa bodi ya mikopo kufanya hima kuwapatia haki zao kwani wanateseka.
 
Pesa yote iliishia kwny bunge la katba na juz wamejiongezea posho ad lak 3 per day,yan ad chuo kikuu cha taifa kilio n hikhik,loan board hawapaxwi kulaumiwa,wa kulaumiwa n akina Nchemba,Lukuvi,na Ccm kwa ujumla.
 
so ffu wapo eneo la chuo au mmetishiwa tuu

sisi huku ardhi university tumeambiwa kesho tuna-sign....!

wakizingua tunakinukisha watu washaandaa mabango
 
FFU wanaonekana kila wakati wakipita na kusimama eneo la chuo bila mpangilio maalum. Wat wanahisi huenda chuo kinajaribu kuchuka tahadhari mapema kwasababu ni ukweli hakuna dalili hat za kusaini kila siku wanaomb uvumilivu.
 
FFU wanaonekana kila wakati wakipita na kusimama eneo la chuo bila mpangilio maalum. Wat wanahisi huenda chuo kinajaribu kuchuka tahadhari mapema kwasababu ni ukweli hakuna dalili hat za kusaini kila siku wanaomb uvumilivu.

Hiyo ndio Tanzania bwana!
 
And that's how we build "Competence, passion, dilligence & solidarity" to our our workforce!! Poleni sana.
 
Hata mkisaini hakuna pesa,,Serikali haina kitu kabisa kwani hadi ss kuna watumishi hawajapata mishahara!!Kuna vyuo wamesaini leo lkn pesa hakuna,mjute kuchagua chama cha wezi.2015 sio mbali mbadirishe serikali!"
 
Kumbe ndio maana watu wanakingelea sana chuo kikuu cha Da es salaam. Nami nimeona kama kuna vitu. Kwanini wao wamewekewa leo?
 
Pesa wameenda kukopesha DANIDA tuwe wavumilivu kidogo...,DANIDA wakilipa tutawalipa

Tuivumilie serikali yetu sikivu...
 
JORDAN UNIVERSITY....Mhhh hivi hiki nacho kiko Tanzania?lol
 
Udsm wamesign tu na kuna course nyingine bado hawajasign huyo anaesema wameshawekea ni muongo.....na ifm pia wamesign jana sasa sijui hizo pesa zitaingia lini au isiwe ni danganya toto tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…