Loan Calculator ya HESLB ina kasoro gani? Huyu mnufaika Loan Board anadaiwa mkopo wa karibu Bilioni 48!

Loan Calculator ya HESLB ina kasoro gani? Huyu mnufaika Loan Board anadaiwa mkopo wa karibu Bilioni 48!

Mimi nimeshaandika humu mapungufu na uozo mkubwa wa HESLB katika calculations zao....
Nafikiri tunahitaji mjadala wa pamoja na viongozi wa wizara ya elimu,, Viongozi wa Bodi,, waziri wa Kazi, Wabunge wachache wawakilishi hasa hasa vijana mfano wa Tunduma ambaye waligomea Sana pale ud kipindi cha nyuma,watu wa Fcc,,na mashirikisho ya wafanyakazi kuhusu hilo hasa retention fee mengi letu ni kujadili kwa uwazi na upana na serikali wapokee maoni ya wadau,,just mawazo yangu tu
 
Taifa linakusanya kodi kutoka kwa wananchi kisha inawakopesha kodi hizo hizo kuwasomesha wananchi halafu inawadai na riba kubwa.. yaani pesa zako mwenyewe unakopeshwa
Sasa hapa wananchi wamelala usingizi wa pono.. ngoja dawa iwaangie vizuri
 
Nafikiri tunahitaji mjadala wa pamoja na viongozi wa wizara ya elimu,, Viongozi wa Bodi,, waziri wa Kazi, Wabunge wachache wawakilishi hasa hasa vijana mfano wa Tunduma ambaye waligomea Sana pale ud kipindi cha nyuma,watu wa Fcc,,na mashirikisho ya wafanyakazi kuhusu hilo hasa retention fee mengi letu ni kujadili kwa uwazi na upana na serikali wapokee maoni ya wadau,,just mawazo yangu tu
Tupeleke malumbano ya hoja ITV
 
Unapigwa bonge la bao, halafu mhusika anatokea anakupa pole na kukutia moyo.

Huu ni mfano halisi kuwa maisha unayoishi kuna mtu anayekuendesha pasipo kujua.

Wahusika waliangalie hili aisee huu ni sawa na utapeli
 
Walishakanusha wakasema kuwa figures zinazoandikwa kwenye salary slip si za kwao.

Waajiri wanajiwekea figure tu ila ukitaka kujua kiasi halisi cha deni wasiliana nao

Sina hakika kama naweza kukubaliana na wewe...

Mwajiri kwa maana ya Afisa Utumishi hawezi kujiamulia tu kuwa mtumishi fulani akatwe kiasi fulani kulipia deni lake unless apate mkataba wa wanaodaiana na wenye kuidhinisha makato hayo...

Mwajiri kazi yake ni kuingiza tu makato kwenye mfumo wa mishahara wa LOWSON...

Kuhusu mikopo hii hii, kuna mwingine kwenye risiti ya mshahara inaonesha deni lililobaki ili amalize kulipa ni Tshs. 4,500,000 lakini kwenye mfumo wa bodi ya mikopo, huyuhuyu anaonekana bado anadaiwa Tshs. 12,000,000....!!
 
HESLB wametoa ufafanuzi
IMG-20210110-WA0058.jpg
 
Ningependa kufahamu imekuaje ikafika 48bil, ni yeye tu au kuna wengine pia.

Ni wengi sana...

Kuna mmoja yeye kwenye Risiti ya mshahara (Salary Slip) deni lililosalia linasomeka Tshs. 4,500,000...

Akataka alipe mara moja kwa mkupuo aachne na kudaiwa...

Alipomwendea Afisa mikopo wa HESLB ili afanye ukokotozi wa ku - settle deni kwa mkupuo, akashangaa kukuta deni huko HESLB linasomeka Tshs. 12,000,000 tofauti na figure iliyoingizwa kwenye LOWSON...

Ungekuwa wewe ungekutana na vitu hivi ungefanya nini eti...?
 
Ni wengi sana...

Kuna mmoja yeye kwenye Risiti ya mshahara (Salary Slip) deni lililosalia linasomeka Tshs. 4,500,000...
Hiyo mbaya sana, ni bora aache hiyo 4,5 ya kwenye salary slip amalize deni taratibu. Nadhani calculator yao Ina tatizo
 
Hiyo bei wamewasosesha ukoo wao wote plus Mkoa au kijiji kupitia huyo mmoja...
 
Utapeli huo.. mtu akilipa wanaweka mfukoni.. ni aibu sana hao kuweka viwango vya juu.. hii inaonyesha hakuna ukweli na ufisadi umejaa huko.. sielewi kama hao wanaoweka data viongozi wao hawaoni ili warekebishe haya.. labda kama wote wanayapitisha tu.. shame kwa awamu hii ya Tano kwa kweli..
 
Back
Top Bottom