Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
Mbona wenye lockdown bado wanafanya shughuli kama kawa?
Marekani tokea corona ianze hawajaacha kutengeneza filamu, na filamu zina watu zaidi ya 100 on set. Hawakuacha kufanya kampeni, japo midahalo ilikua na virtual attendees lakini mikutano watu walikua wanajaa tena wengine bila barakoa.
Korea Kusini, hawa hawajaacha kutengeneza series zao zile tangu corona ianze. Na siriz zao hawa zina watu wengi kweli, hua wanaonesha mwisho wa sirizi kwa hesabu ya haraka sio chini ya watu 200 kwa season 1.
Sisi kwanini tujiwekee lockdown? Kwanini wanaharakati wanalazimisha tuwekwe lockdown?
Mkurugenzi wa Pfizer kampuni inayotengeneza chanjo ya korona alisema "ni lazima makampuni ya chanjo yatengeneze faida". Kwanini tulazimishwe kutajirisha nchi nyingine kwa kununua chanjo zao kwa bei kubwa?
Corona ipo ila kama watanzania tujifunze kuishi nayo kwa kuchukua tahadhari, tuiamini serikali yetu pia kwakua inapokea taarifa nyingi na inajua mambo mengi zaidi kuliko wanaharakati na wananchi wa kawaida.
Pfizer CEO Says Companies Should Make Profit On Covid-19 Vaccine
7/29/2020 · Pfizer, which has long said it intends to make a profit on its Covid-19 vaccine, is alone among the leading Covid-19 vaccine makers not to have taken government research help
Marekani tokea corona ianze hawajaacha kutengeneza filamu, na filamu zina watu zaidi ya 100 on set. Hawakuacha kufanya kampeni, japo midahalo ilikua na virtual attendees lakini mikutano watu walikua wanajaa tena wengine bila barakoa.
Korea Kusini, hawa hawajaacha kutengeneza series zao zile tangu corona ianze. Na siriz zao hawa zina watu wengi kweli, hua wanaonesha mwisho wa sirizi kwa hesabu ya haraka sio chini ya watu 200 kwa season 1.
Sisi kwanini tujiwekee lockdown? Kwanini wanaharakati wanalazimisha tuwekwe lockdown?
Mkurugenzi wa Pfizer kampuni inayotengeneza chanjo ya korona alisema "ni lazima makampuni ya chanjo yatengeneze faida". Kwanini tulazimishwe kutajirisha nchi nyingine kwa kununua chanjo zao kwa bei kubwa?
Corona ipo ila kama watanzania tujifunze kuishi nayo kwa kuchukua tahadhari, tuiamini serikali yetu pia kwakua inapokea taarifa nyingi na inajua mambo mengi zaidi kuliko wanaharakati na wananchi wa kawaida.
Pfizer CEO Says Companies Should Make Profit On Covid-19 Vaccine
7/29/2020 · Pfizer, which has long said it intends to make a profit on its Covid-19 vaccine, is alone among the leading Covid-19 vaccine makers not to have taken government research help