Lodge kali kwa bei rafiki jijini Dar es Salaam

Huyo mmakonde vp namba yke hauna mkuu bdo yupo hai, niunganishe nae bc
 
Sasa boss ulienda hapo na huna uhakika? Sku ingine ukifika maeneo hayo na huna uhakika lipia alafu toka, ingia sinza mitaa okota maembe yapo kibao. Ila fungia vitu vya thaman kwenye safe.
Soma vizuri
Uhakika ulikuepo kwa hisani ya NIMR
asubuh alidamka kuwahi home then job.
Sasa breakfast nipo pekeangu, sauti ya jikoni ikanikosha.
 
Hapo Blue bird jumamoc ntazama na toto la kihindi km vp nijivunie point mkuu, umenipa wazo zuri sn [emoji39]
daah watu mna roho ngum aisee, mhindi na flat skrini zao zile!? haya bana kila lakheri
mm bana hata hawa dada zetu wa kiswahili nikishaona ametupia maguo mengimengi mgongo siusomi vizuri nakaa nao mbali sana km mafuta na kiberiti aisee
 
Niliendaga kulala Landmark Hotel pale Riverside. Nikalipia 70,000/= a night.

Baada ya kufanya mapenzi na demu wangu, tukala msosi nikamsindikiza. Nikarudi room kumalizia hela yangu.

Nilijutia sana. Hela yangu iliniuma.
70k parefu mkuu sikupingi, lodge zpo Kali zenye bei ya kawaida tu ba location nzuuuri from 10-25k mbn

Tuache mbwembwe kwenye starehe ya siku moja jmn vjana
 
daah watu mna roho ngum aisee, mhindi na flat skrini zao zile!? haya bana kila lakheri
mm bana hata hawa dada zetu wa kiswahili nikishaona ametupia maguo mengimengi mgongo siusomi vizuri nakaa nao mbali sana km mafuta na kiberiti aisee
Haha nasafisha nyota mkuu, na mm niwe na historia ya Kula Asian babe [emoji3]
 
Kaka najua unajua yoyote hata moja [emoji2] ongeza hapo kwenye list
Mimi najua za kulala sio za kuzinia.
Eg. Azania sinza kwaremi
Lantana, kwa remi, Riseth inn nyuma ya Lantana, Mambosasa, Shamool, Wanyama, Rungwe, KingDavid hizo ndio zangu za kulala...bei zote zinaanzia 50k isipokuwa Riseth inn ni 30k nako kazuri sana.

Hizi zote za 50k hutojutia
 
Mkuu Kuna jamaa huko kakuita busy devil 👿😈

😅😅😂😂😂
 
daah watu mna roho ngum aisee, mhindi na flat skrini zao zile!? haya bana kila lakheri
mm bana hata hawa dada zetu wa kiswahili nikishaona ametupia maguo mengimengi mgongo siusomi vizuri nakaa nao mbali sana km mafuta na kiberiti aisee
Mkuu watu tuko tofauti mm binafsi demu kama hana chura sitakagi kujua hata jina lake[emoji23]....kuna mwamba mmoja hv yeye anapenda mtindi yaan kosa vyote lakn sio mtindi mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣Haya mambo ila
 
Dah officialBossmtoto itoshe kusema wewe ni mhuni mwenzangu .

Nimejikuta machozi yamenilenga maana hakuna lodge uliyotaja ambayo sijalala mwisho nimeona kuwa sina sababu ya kuendelea na anasa za dunia .

Ikiwa kuna mtu unajihisi unamtumikia Mungu katika roho na kweli nakuomba njoo niokoe mimi malaya niliyekubuhu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…