Lodge kali kwa bei rafiki jijini Dar es Salaam

Luhanga Mti pesa Tsh 6,000/=

Sifa.
1. Kitanda kina kelele sana
2. Shuka hazifuliwi, mito ina udenda.
3. Taulo chafu
4. Choo public maji kisoda sabuni hakuna.
5. Feni kama linaanguka kumbe la, panga boi zinakata mayenu.
6. Ukienda kuoga usiache chochote ndani, utalia.
 
Itakusaidia nini? Huoni aubu kujivunia uzinzi na ukahaba? Yaani unatamba kabisa unasambaza UKIMWI na Moderator wa JF wanakuacha tu?
Aise sasa nyie mnaojivunia akili mbona sioni la maana mnalofanya hapa duniani?
Alafu mnajua hii ni cyberspace anything goes usije chukulia vitu serious wengine tu apu guza mavhungu ya kukosa kazi japo tupo na masterz zetu.
 
Aise sasa nyie mnaojivunia akili mbona sioni la maana mnalofanya hapa duniani?
Alafu mnajua hii ni cyberspace anything goes usije chukulia vitu serious wengine tu apu guza mavhungu ya kukosa kazi japo tupo na masterz zetu.
Sio kweli, ingekuwa kupunguza machungu using andika si chini ya mara 1. Acha uzinzi dogo, hakujawahi kuwa na ushindi katika uzinzi. Hakuna mtu aliyewahi pewa taji la ushindi wa ngono. Pia acha kusambaza UKIMWI kwani hakuna mtu aliyekutuma ukahangaike hadi uupate. Please Moderator kwanini mnaachia comments za mtu kusema anausambaza UKIMWI kwa makusudi?
 
Ah kumbe u r my number one fan...very well wee fuatilia comments zangu mzeya. Sasa kwani wee watu tunafanya ngono ili kushinda taji au kuburudisha nafsi? Kila mtu na starehe yake bwana sie maskini starehe yetu ngono...hayo mamabo sijui ya cinema sijui vacation wengine hela hatuna
 
Duhhh! Aiseeehhh!
 
Huo ugonjwa ni noma mwanaume unadinda kichwa tu cha mb....o illa inakua legelege
 
Mkuu hao Atlantic Sinza Mapambano waambie nataka nikae hapo mwaka mzima wanifanyie bei ya 10k per day!
 
Izo za kishua kwa wandugu wa kitonga. Kuna friend lodge iko Sinza vatican pale stand ..room 15k kwa 20k .iyo ya 15k haina Tv tu .tv uta angalia kwenu full kiyoyozi pembeni yake ipo nyingine room ni 30k ni wewe tu, zote kaliii zime tulia room safi
Nipe namba zao hao Friends Lodge nione kama wanaweza kukubali hiyo ya 15k kunipangishia kwa 10k per day kwa mwaka mzima!
 
Hatari.
 
Huo ugonjwa ni noma mwanaume unadinda kichwa tu cha mb....o illa inakua legelege
Huyo bwege tu, hana UKIMWI wala nini? Ni kakijana kadogo ka hovyo kanachobalehe so kanaona Uzinzi ndio fashion. Kwa mtu mzima hawezi jisifia ngono hata siku 1. Jamaa yupo kwenye 20's huyo. Hana UKIMWI wala Gono. Ni kula kulala tu kwa shemeji yake hapo ila kwa kuwa anapewa pesa za Bando na sister yake ndio anaandika upuuzi humu.
 
Haya hongera. Hakuna kama wewe kwenye Ngono, wewe ndio wewe. Wewe ni zaidi ya Suleiman, wewe ndio bingwa wa ngono hadi UKIMWI unakuogopa. Yaani Virusi vya UKIMWI vikikuona wewe, vinakimbia vyenyewe na kukuachia ule Mbususu.

Hongera sana, humu JF wote umewashinda kwa kula mbususu mzee. Hakuna kama wewe mzaababh humu JF na dunia yote kwa kula Mbususu. Wewe unajua bwana kula mbususu. Limbukeni wahead wewe dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…