Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kaa na watu vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa na watu vizuri
Broo huu uzi ungeukaushia tu maana humu spana malaya zinaelekezana sehemu za kufungulia nati😁😁😁😁Hakika wewe ni certified himalaya🤣🤣🤣
Jf kijiwe chetu mkuu tunachombeza tu😆😆Broo huu uzi ungeukaushia tu maana humu spana malaya zinaelekezana sehemu za kufungulia nati😁😁😁😁
Hujui kubeti wewe. Hujawahi kubeti ukaliwa milioni tatu kwa mara moja. Hapo ungeitambua vizuri hasara.Umalaya ndio kazi nzuri yenye hasara kubwa zaidi duniani.
Blue bird au namnani,kitambo Mwaka 2001 ilikuwa chimbo langu,kipindi iko bei 12000.Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia (Lodge)
Hapa tutaweka maeneo tofauti tofauti hapa mjini Dar na bei zake elekezi ili kwa wasiojua wapate mwongozo wa wapi pazuri pa kwenda kufanya unyamaaa.
1) Kitowo Lodge -30,000/-
Hii ipo riverside, oposite na boss kalewa kuna njia inaingia ndani kidooogo. Gharama yake ni 30,000/- maji ya moto yapo ila mpaka uombe wakuwashie. Parking ipo kubwa ila kama unapiga na kutoka paki nje maana unaweza zuiwa na mwenzako.
Wanatabia ya kuweka Biblia vyumbani sijui ni kwa sababu gani [emoji23]. Kama pia huna Mchumba fika pale mida ya saa mbili usiku utaokota toto la kwenda pale pale riverside.
View attachment 2746613
2) UNIVERSAL EXECUTIVE INN
Hii iko kijotonyama/sinza. Zamani ilipokua ofisi (HQ) za wasafi. Hii ni 40,000/- ila uzuri wake ni kwamba ukishaingia ndani ni umejitenga na jamii [emoji4]. Kuko very peaceful na kuna kautulivu flani ivi.
Vitanda vizuri na mapokezi mazuri. Wana Bar yao humo humo ndani (ndogo lakini )
View attachment 2746616
3)Atlantic Lodge 20,000
Hii iko karibu sana na namba mbili. Hii haina mambo Mengi. Ilo mtaani kabisa kwa hio mbinu ya kuingia mmoja mmoja kama hamna magari ni muhimu sana. Ndani pia ni pa kawaida sana hapana amsha amsha zozote.
Kiufupi hii ni chaguo la haraka kama ukikuta namba 2 imejaa.
View attachment 2746625
4)PATAYA GUEST HOUSE (40,000) MIKOCHENI
Hii ina bei sababu ya eneo ila haina maajabu yoyote ila kwa status kama umepata kitoto kinataka status kikiskia mikocheni kinaweza data [emoji23] akiingia ndani ndo anashangaa heee bora sinza. Cha muhimu lengo litimie.
View attachment 2746633
5) Home Alone 30,000 Kinondoni Vijana
Hapa napo pamekaa kimtego sana ila ukishaingia ndani ni Burudani. Pametulia na pana mazingira rafiki (kwa ndani) hapa parking ipo ila sio rafiki sana. Ukiingia wa kwanza omba asiingie mwenzako maana kutoka kwako wewe mpaka yeye amalize [emoji1787]
View attachment 2746649
6)New Langata Lodge (home aloneB) 30,000 American Chips
Hii iko kinondoni American Chips. Hii inabebwa sana na ile Home alone ya kwanza. Hii mara nyingi ukikuta home alone pale juu pamejaa wanakudirect huku. Sio pazuri sanaa na mazingira sio rafiki (nje) kuna kelele kiasi ila ndani panaruhusu game kuchezeka hamna shida.
View attachment 2746648
7)Nefaland Hotel 50,000- 200,000
Hapa unavuna point kama zote [emoji2]. Ukiingia pale ndani mkalishe kwenye kiti afu wewe kaongee na muhudumu [emoji3]. Lipia 50,000 yako alafu mwambie hapa 150,000 tuu sio ghali [emoji2].
Ipo pale Manzese Argentina kituoni kabisa mwendokasi.
Oya hapa ni unyama huduma rafiki sana na pana utulivo uliopitiliza. Hutajutia kabisa.
View attachment 2746655
Kuna mdau kaja inbox na picha za eneo hili. Na anasema yuko hapo mida hii. Kama una swali unaweza muuliza. View attachment 2746768
8)Blue Bird sinza 50,000
Hii nayo nisiseme mengi. Ni hoteli ya kuvunia point. Usipeleke Mal***a. Ushauri, maeneo kama haya peleka binti unaetaka kuvuna point, usipeleke mal**a ni kupoteza rasilimali.
View attachment 2746665
Kwa hisani ya mdau [mention]MENEMENE TEKERI NA PERESI [/mention] uzi unaendelea maeneo haya hapa zaidi [emoji16]
Maelezo hayatoshi mkuu, ipo wapi hii?Universal Executive Inn ndio sehemu bora kabisa katika hizo zote umetaja. Pako poa sana, bei rafiki na usalama wa kutosha. Chimbo langu la uhakika kila nikifika mjini Daslam
Ipo Sinza kama una application ya Bolt ingiza hii code inakufikisha mpaka mlangoni.Maelezo hayatoshi mkuu, ipo wapi hii?
Kama ilikua 2017 nakuhakikishia mpaka leo hapajawahi kupigwa hata rangi au kukarabatiwa vitanda, na masink pamoja na tiles vishaanza kuchuja.Kuna MESUMA ya pale makumbusho vyumba vizuri sana na vikubwa.
Kitanda safi kabisa yaani kama kwako.
Nilichukuaga room ya 60k ya chini maana kulikuwa na 80k
But hio 60k mazingira yake niliyapenda sana just imagine huko 80k kutakuwaje by the time ilikuwa 2017.
Sijui Sasa kama vyumba vina ubora ule ule but I was satisfied.
Nilikula mambo usiku kucha nilichukua point zote tatu kwa yule manzi.
The worst aliniachia bonge Moja la UTI [emoji1787] out of all treatment.
Daaah nashukuru Niko OK Leo 2023.
Kuna MESUMA ya pale makumbusho vyumba vizuri sana na vikubwa.
Kitanda safi kabisa yaani kama kwako.
Nilichukuaga room ya 60k ya chini maana kulikuwa na 80k
But hio 60k mazingira yake niliyapenda sana just imagine huko 80k kutakuwaje by the time ilikuwa 2017.
Sijui Sasa kama vyumba vina ubora ule ule but I was satisfied.
Nilikula mambo usiku kucha nilichukua point zote tatu kwa yule manzi.
The worst aliniachia bonge Moja la UTI [emoji1787] out of all treatment.
Daaah nashukuru Niko OK Leo 2023.
Maelezo hayatoshi mkuu, ipo wapi hii?
Kibadamo hotelKule mbali nyuma ya stendi tuu ukuta ulipoishia , kati na nbc na stendi
Sio MIC hotel?Kibadamo hotel
Sio MIC hotel?