Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitumie gharama kwa lodge.Habari wadau nahitajika kuwepo dar kwa usiku mmoja na mimi ni mgeni jijini je nawaleza pata lodge maeneo karibu kabisa na mahakama ya ardhi Mwananyamala kwa budget ya shs 20000 kwa usiku mmoja msaada please.
mkuu mbona unamtisha na amekwambia yupo na mgeni wakeUangalie huko mwananyamala wasije kuibia hadi nyaraka za kwenda nazo mahakamani,
Upo sahihi kabisa, kuna jamaa aliibiwa laptop, camera na simu, kisa budget, wezi alilala nao humohumo nadhani kosa lake ilikuwa kujionyeshaonyesha akitumia laptoUangalie huko mwananyamala wasije kuibia hadi nyaraka za kwenda nazo mahakamani,
Ngoja niijaribu. Ila najua Wabongo wataitumia vby.Download app ya utalii inaitwa couch surfing.
Utapata sehemu ya kuishi kwa mtu bila malipo.
Duh!!!Upo sahihi kabisa, kuna jamaa aliibiwa laptop, camera na simu, kisa budget, wezi alilala nao humohumo nadhani kosa lake ilikuwa kujionyeshaonyesha akitumia lapto
Ohoooo!!!Uangalie huko mwananyamala wasije kuibia hadi nyaraka za kwenda nazo mahakamani,
Uko tayari Kuibiwa na hata Kupumbuliwa?Habari wadau nahitajika kuwepo dar kwa usiku mmoja na mimi ni mgeni jijini je nawaleza pata lodge maeneo karibu kabisa na mahakama ya ardhi Mwananyamala kwa budget ya shs 20000 kwa usiku mmoja msaada please.
Konochoice Lodge iko Kinondoni ni nadhani tsh 2000 kwa pikipiki kwenda mahakama ya ArdhiHabari wadau nahitajika kuwepo dar kwa usiku mmoja na mimi ni mgeni jijini je nawaleza pata lodge maeneo karibu kabisa na mahakama ya ardhi Mwananyamala kwa budget ya shs 20000 kwa usiku mmoja msaada please.