Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 184
- 274
Wakuu naomba mniambie logde nzuri safi hapo Dodoma mjini kati.bajeti 30k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka ya kukaa wewe mwenyewe?Wakuu naomba mniambie logde nzuri safi hapo Dodoma mjini kati.bajeti 30k.
Ni za viwango vizuri boss?.Pita Makole hapo kuna,
NERISSA, pia ulizia ilipo
Europe lodge, huo mtaa una lodge kibao utachagua mwenyewe ipi itakufaa
Viwango vipi unataka kwahiyo bajeti? utapata lodge ya kawaida kwa maisha ya mtanzania.Kukuongezea wigo wa uchaguzi pita pia mitaa ya uhindini fanya kama unaelekea mitaa ya chako ni chako zipo lodge za gharama hiyo self lakin old skul sio mbaya kihivyo kwa matumizi ya mtanzaniaNi za viwango vizuri boss?.
Pale Chamwino ipo State Lodge ulinzi kila kona, kuingia mwisho saa kumi jioni na kutoka mwanzo saa moja na nusu.
Mitaa ya sabasaba lodge za 20 zipo nzuri tuNishawahi kulala ya Elfu 25 dom karibu na ITV nikaondoka na kunguni asubuhi
Usalama kwanza.Hii lodge itawafaa sana watoto wa chekechea
Hapo mjini zipo nzuri kabisa za 25,000Wakuu naomba mniambie logde nzuri safi hapo Dodoma mjini kati.bajeti 30k.
OK Mkuu, fika maeneo ya Makole hapo Opposite na CBE zipo za kutosha ujichagulie, unaweza kucheki Waridi Lodge, Simba Lodge , na nyingine za kutosha maeneo hayo.Wakuu naomba mniambie logde nzuri safi hapo Dodoma mjini kati.bajeti 30k.
Umetisha bossJapanese... ipo mji mpya.. town kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anyway Passover njema brotherHii lodge itawafaa sana watoto wa chekechea
Lodge zote ambazo bei yake ni 30k kwahiyo uhakika wa kunguni upo.una uhakika nalo hili asilimia mia?Kwa hiyo bajeti ukikosa kunguni sio dodoma nayoijua
Au utakuwa wa Dar umezoea kuumwa kunguni