Loh! Nimetoka Segerea wadau

Loh! Nimetoka Segerea wadau

Ngoja uchafu ujichuje baharini kwanza mkuu
Si unaona uchafu unatoka wenyewe

Ova
Nikweli wacha tubakie na mchele super hayo mapumba ya sengerema wacha yajitoe
 
MoD pigeni BAN tena huyu mdau, analeta kiherehere cha uherehere
Nimepata habari kuwa DAB wakati wowote ananyang'anywa walinzi sasa sijui utaishi vipi dunia hii!
 
Nikweli kabisa mr rambaramba
Mahabusu bado haijakusaidia kurekebisha tabia yako. Staha ni kitu cha bure lakini kina thamani kubwa kuliko.
Nitaendelea kukuombea kwa Mola akufanyie wepesi.
 
Mahabusu bado haijakusaidia kurekebisha tabia yako. Staha ni kitu cha bure lakini kina thamani kubwa kuliko.
Nitaendelea kukuombea kwa Mola akufanyie wepesi.
Umuombee nani wewe gamba?
 
Last edited:
Pole mkuu. Hukua na simu kule ? Tumekumiss sana. Fly over umeziona ? Airport ulichungulia ukaona madege kama ya Emirates ?
Shamba la Segerea liko wapi ? Nasikia hata manyapara wanalima huko. Beer zimepungua bei tukutane wapi nikupe 2 ?
 
Pole mkuu. Hukua na simu kule ? Tumekumiss sana. Fly over umeziona ? Airport ulichungulia ukaona madege kama ya Emirates ?
Shamba la Segerea liko wapi ? Nasikia hata manyapara wanalima huko. Beer zimepungua bei tukutane wapi nikupe 2 ?
Mkuu nashukuru sana nipo hapa Eden Pub Igoma mwanza najipongeza,hongereni nasikia siku hizi biashara ya watu imezidi kushamili mtu ananunuliwa kwa mshahara wa mwezi na gari toyota v8
 
Teeeeeeeeeh Teeeeeeeeeeh Teeeeeeeeeh asife moyo maana sasa nimeingia kwa syle ya kiwanda
Jokate ni mkuu wa wilaya kisarawe
Jeri muro ni mkuu wa wilaya
Makonda ana mtoto
Mwita Waitara amejiunga ccm

Karibu sana
Pole sana
 
Vipi mkuu nipe taarifa kamili nasikia watu wanahama toka majumbani mwao na kuhamia mitaa ya lumumba ili kuunga mkono juhudi za ujenzi wa viwanda?
Wananunuliwa kwa kipande cha sarafu
 
Jokate ni mkuu wa wilaya kisarawe
Jeri muro ni mkuu wa wilaya
Makonda ana mtoto
Mwita Waitara amejiunga ccm

Karibu sana
Pole sana
Mkuu nashukuru sana kwa kunipa picha halisi ya yaliyotokea wakati mimi nipo gizani
 
Back
Top Bottom