Lokole yamekukuta

Lol yamemkuta mwari kigegooo kweli ukishadadia ya wenzako ya kwako yatapigiwa mbiu kabisaaaa
 
Kajiaibisha mwenyewe na familia yake mkuu, kama ww ni straight hakuna haja ya kuumizwa kichwa na scandal za hawa mabwabwa coz wao sio wanaume ila ni mashoga, ndo maana kwa baadhi ya online sites za social,ecommerce au news ukiwa unajiunga pale kwenye gender wameongeza, haziko mbili tena, utakuta zipo tatu
 
Best umerudi na uzito wa habari zako
 
Konk konk kampa kibano kikali[emoji16][emoji16]

Dudubaya bana kamburuza mkono Amber juma eti " njoo hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Konki anapenda Kiki Sana,anaangalia kitu gani kina TREND kisha anasepa nacho kupata mileages πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€..
 
Kuna video anashuka kwenye mti anakata viuno yan daaa,nilitaman hata nichukue mguu wa kuku nikamchape shaba huko aliko...
 
Pole yake mwari ila hapo ndio atapata soko maana hata wale walikuwa waoga kumfata sasahv ndio fungulia geti soon ataanza sukuma gari nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…