SoC03 Lolote utendalo kwa mwenzako kuna siku litarudi maishani mwako

SoC03 Lolote utendalo kwa mwenzako kuna siku litarudi maishani mwako

Stories of Change - 2023 Competition

Fannjosh

Member
Joined
May 28, 2016
Posts
35
Reaction score
46
Habari ndugu msomaji. Ningependa tukumbushane jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza na kuzingatia katika maisha.

Kuna baadhi ya misemo inaonekana kama imezoeleka lakini ina maana kubwa sana. Mfano: Maisha ni hapa hapa duniani, dunia ni duara.

Jambo la msingi ninaloweza kusema ni kwamba, LOLOTE UFANYALO KWA MWENZAKO LITAKURUDIA SIKU MOJA, UPENDE AMA USIPENDE. Hata kama lisiporudi maishani mwako, basi kizazi chako kitakutana na matokeo ya yote uliyofanya kwa wenzako ukiwa hai.

Kuna baadhi ya watu walitenda mema sana, walikuwa na huruma kwa wenzao, walikuwa na upendo na moyo wa ukarimu, walijitoa kutenda mema kwa wenzao na walikuja kulipwa mema katika nyakati walizokuwa hawategemei.

Pia, kuna mtu flani alitenda mabaya, alionea wengine, alitoa rushwa akapindisha haki, alidharau wengine, alitoa machozi kwenye macho ya watu, na siku asiyoitegemea alipokea mambo magumu yaliyogharimu maisha yake na furaha yake daima.

Ndugu zangu, tujitahidi kutenda mema ili mema yarudi katika maisha yetu. Tusipende kuumiza mioyo ya watu kwani machozi yao hayadondoki bure ipo siku machozi hayo yatatiririka kwenye macho yetu. TENDA WEMA NENDA ZAKO.

Tafadhari bonyeza Vote hapo chini kama umependa chapisho hili. Asante sana.
 
Upvote 11
Habari ndugu msomaji. Ningependa tukumbushane jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza na kuzingatia katika maisha.

Kuna baadhi ya misemo inaonekana kama imezoeleka lakini ina maana kubwa sana. Mfano: Maisha ni hapa hapa duniani, dunia ni duara.

Jambo la msingi ninaloweza kusema ni kwamba, LOLOTE UFANYALO KWA MWENZAKO LITAKURUDIA SIKU MOJA, UPENDE AMA USIPENDE. Hata kama lisiporudi maishani mwako, basi kizazi chako kitakutana na matokeo ya yote uliyofanya kwa wenzako ukiwa hai.

Kuna baadhi ya watu walitenda mema sana, walikuwa na huruma kwa wenzao, walikuwa na upendo na moyo wa ukarimu, walijitoa kutenda mema kwa wenzao na walikuja kulipwa mema katika nyakati walizokuwa hawategemei.

Pia, kuna mtu flani alitenda mabaya, alionea wengine, alitoa rushwa akapindisha haki, alidharau wengine, alitoa machozi kwenye macho ya watu, na siku asiyoitegemea alipokea mambo magumu yaliyogharimu maisha yake na furaha yake daima.

Ndugu zangu, tujitahidi kutenda mema ili mema yarudi katika maisha yetu. Tusipende kuumiza mioyo ya watu kwani machozi yao hayadondoki bure ipo siku machozi hayo yatatiririka kwenye macho yetu. TENDA WEMA NENDA ZAKO.
Yah sahii sana
 
Hapana, that is why umesema litawapata kizazi changu sio mimi. hiyo ni theory tu lakini haina practical application.
 
Habari ndugu msomaji. Ningependa tukumbushane jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza na kuzingatia katika maisha.

Kuna baadhi ya misemo inaonekana kama imezoeleka lakini ina maana kubwa sana. Mfano: Maisha ni hapa hapa duniani, dunia ni duara.

Jambo la msingi ninaloweza kusema ni kwamba, LOLOTE UFANYALO KWA MWENZAKO LITAKURUDIA SIKU MOJA, UPENDE AMA USIPENDE. Hata kama lisiporudi maishani mwako, basi kizazi chako kitakutana na matokeo ya yote uliyofanya kwa wenzako ukiwa hai.

Kuna baadhi ya watu walitenda mema sana, walikuwa na huruma kwa wenzao, walikuwa na upendo na moyo wa ukarimu, walijitoa kutenda mema kwa wenzao na walikuja kulipwa mema katika nyakati walizokuwa hawategemei.

Pia, kuna mtu flani alitenda mabaya, alionea wengine, alitoa rushwa akapindisha haki, alidharau wengine, alitoa machozi kwenye macho ya watu, na siku asiyoitegemea alipokea mambo magumu yaliyogharimu maisha yake na furaha yake daima.

Ndugu zangu, tujitahidi kutenda mema ili mema yarudi katika maisha yetu. Tusipende kuumiza mioyo ya watu kwani machozi yao hayadondoki bure ipo siku machozi hayo yatatiririka kwenye macho yetu. TENDA WEMA NENDA ZAKO.

Tafadhari bonyeza Vote hapo chini kama umependa chapisho hili. Asante sana.
Siamini hili jambo. Kuna watu wauaji hasa wanasiasa na wameendelea kula mema ya nchi vizazi na vizazi huku hao wanaowakandamiza wakiendelea kulia vizazi na vizazi. I think Karma is for the weak
 
Hta
Hapana, that is why umesema litawapata kizazi changu sio mimi. hiyo ni theory tu lakini haina practical application

Siamini hili jambo. Kuna watu wauaji hasa wanasiasa na wameendelea kula mema ya nchi vizazi na vizazi huku hao wanaowakandamiza wakiendelea kulia vizazi na vizazi. I think Karma is for the weak
Lazima lirudi ndugu yangu, ni suala la muda tu. Najua una mifano pia ya watu waliokuwa na uwezo mzuri na wakatenda mabaya na umeshuhudia yaliyowakita
 
Hta



Lazima lirudi ndugu yangu, ni suala la muda tu. Najua una mifano pia ya watu waliokuwa na uwezo mzuri na wakatenda mabaya na umeshuhudia yaliyowakita
Basi maana yake halirudi kwako kamalitarudi kwa kizazi chakona utajuaje kama ni karma wakati kila binadamu lazimaakumbwe namajanga.
 
Hapana, that is why umesema litawapata kizazi changu sio mimi. hiyo ni theory tu lakini haina practical application.
Hata likija kwa kizazi chako, lazima litokee ukiwa hai ili uthibitishe kuwa hii ni Law of Universe
 
Hata likija kwa kizazi chako, lazima litokee ukiwa hai ili uthibitishe kuwa hii ni Law of Universe

umeitoa wapi hiyo law? Je mamilion ya watu wasio na hatia wanaouwawa kwenye migogoro ya vita vinavyosabishwa na wanasiasa huku wao na familia zao wakiwa salama majumbani mwao ina apply vipi hapo hiyo law?
 
umeitoa wapi hiyo law? Je mamilion ya watu wasio na hatia wanaouwawa kwenye migogoro ya vita vinavyosabishwa na wanasiasa huku wao na familia zao wakiwa salama majumbani mwao ina apply vipi hapo hiyo law?
Hujawahi kusikia kiongozi anafanya ubaya akiwa madarakani na baada ya muda wake kuisha madarakank anaishia kusota jela?
 
wanasema dunia duara unapoanzia ndipo utakapokuja kuishia ili kukamilisha duara.

tujitahidi kuwa wema na kutenda mema.
 
Back
Top Bottom