Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
Nasubili majibu hapaDaah hivi mlio huko mambele tutoeni ushamba aseee mmetutangulia vingi wadau ! Huwa mkifika kwa upande wa vyakula vya kiswahili mfano najua mkitoka huku wali maharage ...
Daah hivi mlio huko mambele tutoeni ushamba aseee mmetutangulia vingi wadau ! Huwa mkifika kwa upande wa vyakula vya kiswahili mfano najua mkitoka huku wali maharage , au ugali dagaa sijui makande , vitumbua vyakula mbalimbali vilivyotulea mirenda na majani ya maboga huwa mnavikuta huko ulaya ? Na kama hamvikuti huwa mna mbadala gani ? na huko kweli kuna magenge kweli au viduka vya mangi ? Au ndo kila kitu supermarket ?
Chapati je ?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hapana ndogo kama Dodoma mkuuHivi London ni kubwa kama dar?
Vyote unapata kwasasa, chapati vitumbua ni kuorder tu wanaopika wanaleta.Daah hivi mlio huko mambele tutoeni ushamba aseee mmetutangulia vingi wadau ! Huwa mkifika kwa upande wa vyakula vya kiswahili mfano najua mkitoka huku wali maharage , au ugali dagaa sijui makande , vitumbua vyakula mbalimbali vilivyotulea mirenda na majani ya maboga huwa mnavikuta huko ulaya ? Na kama hamvikuti huwa mna mbadala gani ? na huko kweli kuna magenge kweli au viduka vya mangi ? Au ndo kila kitu supermarket ?
Chapati je ?ππππ
ππNenda apo london stand upate wa kushoto kata kama unaenda kulia utakuta kuna mpemba mmoja anakaanga viepe Ingia apo
π³πFursa hizi Kwa wajasiriamali
π€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈNataka chunga ntapata
Kirumbu je
ππ
Vyote unapata kwasasa, chapati vitumbua ni kuorder tu wanaopika wanaleta.
Au kujiongeza upike, unga,aina zote upo mpk wa bajia,ndizi za mtori kila kitu ,mihogo, magimbi
Tafadhali nipatie jina lao, nilitizame, ashante saaanaVyote unapata kwasasa, chapati vitumbua ni kuorder tu wanaopika wanaleta.
Au kujiongeza upike, unga,aina zote upo mpk wa bajia,ndizi za mtori kila kitu ,mihogo, magimbi
Kwa taarifa yako mimi si Mpemba na sio powa kudharau watu. Ovyooo mnooooππ