Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
- #41
Vizuri mnoooNgoja waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri mnoooNgoja waje
Kaka ahsante saaana hamna humu restaurants za Waswahili/Wantanzania.Tarbush Swahili Dishes African
THE 10 BEST African Restaurants in London (Updated 2024)
Best African Restaurants in London, England: Find Tripadvisor traveller reviews of London African restaurants and search by price, location, and more.www.tripadvisor.com
Kama kweli nipatie anuani aliko mimi niende?? 🙏🙏Inamo garden. Ipo kings road, kuna bwashehe mmoja anapika misosi ya kibongo. Wabongo wengi wanamwitaga "Mangi mbuzi"
Kama kweli nipatie anuani aliko mimi niende?? 🙏🙏
Subiria kaka kama utapata kwa London, nijuze pia. 🙏😳Na mimi nasubir , maana ninahamu na makongoro ya mbuzi pamoja na ugali wa mtama....
Kaka kama uko serious kweli na uko huku London fungua restaurant ya chakula cha Kiswahili, mimi nimetizama Google yote sijaona. Ndio mwisho nikauliza mtu anaipika na kuuza kwa mtu mmoja mmoja. 🙏🙏Fursa hizi Kwa wajasiriamali
Mna wachumba humu kwa kweli ??vipi ushapata mchumba au?
Nilifikiri utasema umetafuta mchumba umekosa unanipa nafasi ya upendeleoKaka kama uko serious kweli na uko huku London fungua restaurant ya chakula cha Kiswahili, mimi nimetizama Google yote sijaona. Ndio mwisho nikauliza mtu anaipika na kuuza kwa mtu mmoja mmoja. 🙏🙏
Kama hutojali tafadhaki? nipati hiyo anuani ya vyakula vya wapemba. Sitaki vya kizungu, na kama vya kipemba isiwe Barking huko nishafika wanauza kwenye vani. Mimi nahitaji restaurants au mtu anayeuza kwa mtu mmoja mmoja. Nitashukuru mnooo 🙏🙏London kuna migahawa mingi tu inapika vyakula vya kibongo. Wapo wazungu na wapemba kibao wanaendesha migahawa ya chakula. Bahati mbaya sana, muundo wa vyakula, migahawa na bei vimekaa kitalii zaidi kuliko kiuhalisia wa maisha ya ulaji wa kibongo, hivyo huuzwa kwa bei ghali, huuzwa kwa kufanya order, na taste inaweza isiwe kivileeee.
Jambo lingine ambalo watu wanapaswa kujua ni kuwa, upishi na wapishi kwa zama hizi wamekaa kimataifa zaidi (kuhudumia watu kutoka mataifa tofauti tofauti) hivyo kila siku wanajifunza upishi wa namna tofauti tofauti ili kukidhi haja ya wateja. Mteja akifika tu akimpa order ya chakula basi kinapikwa chap chap. Ni pesa yako tu.
Nadhani mleta mada ameandika hapa for fun tu, hayuko serious na huenda hata London hajawahi kufika.
Ha ha haaaNilifikiri utasema umetafuta mchumba umekosa unanipa nafasi ya upendeleo
Hamna wachumba humu nimeshaona.Nilifikiri utasema umetafuta mchumba umekosa unanipa nafasi ya upendeleo
Sijalalamika mimi labla unalalama wewe??Tumia fursa fungua wewe Sasa unalalama nn na uko London tayari
Na mimi tayari nina biashara yetu kwa hiyo siwezi kufanya bishara mbili. Kazi moja inanitosha kwa muda na kipato. 🙏🙏Tumia fursa fungua wewe Sasa unalalama nn na uko London tayari
Uyo kwenye picha ni wewe??Nilifikiri utasema umetafuta mchumba umekosa unanipa nafasi ya upendeleo
Mungu nisaidie 😳🙄Nilifikiri utasema umetafuta mchumba umekosa unanipa nafasi ya upendeleo
endelea kutuchezea akili mungu yupo siku tutakukutaNa mimi tayari nina biashara yangu kwa hiyo siwezi kufanya bishara mbili. Kazi moja inanitosha kwa muda na kipato. [emoji120][emoji120]
Huyo anaitwa Denzel Washington....Uyo kwenye picha ni wewe??
Namjuwa tu nilikuwa nasubiri majibu yako.Huyo anaitwa Denzel Washington....
Ningekuwa Mimi ungenikubali?
Na wewe unafanana na nani?taja mtu maarufu unae fanana naeNamjuwa tu nilikuwa nasubiri majibu yako.