Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Hajashiriki mkuu.Vp mwanariadha wetu Alphonse simbu leo hayupo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajashiriki mkuu.Vp mwanariadha wetu Alphonse simbu leo hayupo???
Mwendawazimu akakimbie London Marathon si atapitiliza hadi atokee Uswisi.Tanzania hatuna wawakilishi?
Hajashiriki mkuu.
Wakenya noma. Sisi sijui mchezo upi tunaweza.Mshindi wa kwanza na wapili ni kutoka Kenya
Utashangaa Mzaramo anashiriki Marathon [emoji23] [emoji23]Suluhisho la wanariadha Wetu ni kwenda kwenye vijiji vya arusha, manyara, kondoa kuchukua vipaji nakwenda kuwaweka huko kenya kwenye kambi za huko
Ifike hatua waziri husika awajibishwe nchi ikifanya vibaya kimataifa.Matokeo ya mbio za wanawake
1Vivian Cheruiyot - Kenya
2Brigid Kisgei - Kenya
3Tadekech Bekele- Ethiopia
4 Mary Keitany - Kenya
hahahahahah...🙂🙂🙂🙂Mwendawazimu akakimbie London Marathon si atapitiliza hadi atokee Uswisi.
Mbinu fungu la maandalizi ya Olimpic linatokaNajuwa nitapata shida kushiriki marathon hapa mjini, ila walete tupige tizi, hata kama ni mara moja kwa mwaka, msisahau pia, haya mashindano yanahusika na ushangashaji wa NGOs, taasisi za afya na ustawi wa jamii..
Its such a shame hatuna, labda Sky Eclat waweza kutuchangamsha kwa hili...
waliwekezaIfike hatua waziri husika awajibishwe nchi ikifanya vibaya kimataifa.
Mbona wenzetu wanaweza.
Why not sisi!!?
Hamna kitu
Ule wa...tena hatuuwezi vizuri maana hata kwenye list ya wanaopenda kufanya hatumo!Wakenya noma. Sisi sijui mchezo upi tunaweza.
Mbona hata sisi tumewekeza!?Mbinu fungu la maandalizi ya Olimpic linatoka
waliwekeza
Mo Farah kwa wakenya hawawez wakenyaMo Farah amekuwa watatu
Ni kheri basi hata tusiwe tunapoteza muda na fedha za walipa kodi kushiriki haya masindano. BTW, tunajiaibisha.Ule wa...tena hatuuwezi vizuri maana hata kwenye list ya wanaopenda kufanya hatumo!
Mie natazama, pole mkuu..JaribuHamna kitu
""Stream not available in your country. ""
Kabisa, ila tunatia aibu, kuzungumza wazuri mno, ila kutenda!Ni kheri basi hata tusiwe tunapoteza muda na fedha za walipa kodi kushiriki haya masindano. BTW, tunajiaibisha.
Sasa bookmark zilizo kubali kwa matumizi ya baadaye mkuu.Imekubali.
Mkuu Mbao za Mawe,ni kwenye jambo gani ambalo kwetu sisi Watanzania huwa tunafanya vyema?Sisi tumekomaa washiriki ambao hawana lolote kazi kwenda kujaza Server kwenye nchi za watu, Hii nchi sijui michezo ililaaniwa na nani.
simbu alikuwa ashiriki..ila amepata majeraha wakati akifanya maandalizi ..ikabidi ajiondoe kushiriki.....World bronze medallist Alphonce Simbu has pulled out of the London Marathon due to a hamstring injury.Vp mwanariadha wetu Alphonse simbu leo hayupo???