London Stock Exchange control over $1trillion worth of Africa’s resources in just five commodities

Ina ashiria confidence yake kwako. Hebu cheki vile miradi yenyu vyuma vimekaza sababu ni kukosa hela hata Baada ya JPM kuzungusha kibakuli hadi SA, na bado hajapata. Unajiuliza ni kwa nini?
Utakuwa mkenya wewe mana huko kwenyu kiswahili ni changamoto.nilikuwa nawazungumzia wazungu wanatupa mikopo ya hela mingi tunashindwa kulipa lakini bado wanatukopesha tena na misaada kwa wingi,utasema wana upendo sana kumbe wanachotupa ni kidogo sana ukilinganisha na kile wanachochokua kutoka kwetu,hususan rasilimali.
 
Yaani mtu anayejulikana kuwa ni chizi halafu wewe unamshangilia.
Ahaaa haaa haaa
Hivi sasa kampuni zinazochimba madini Tz hazijabadilika, ni zile zile zimekuwa zikiwapora. Je JPM ameweka mikakati ipi kuzuia uporaji huo juu sioni vile ukuta utawazuia kina Acacia?
 
waache wa ccontrol tu maana kama hata kujenga kiwanda cha kutengeneza malighafi hatuwezi basi waje tu wawekeze sisi tutafaidi na kodi na asilimia kadhaa
 
Niliskia hata chama cha CCM linachukua mkopo kutoka kwa Pensions Fund bila kuelezea jinsi watakavyoyumia zile hela na ni vipi watazilipa. Je kuna vile unaweza elezea haya ?
And how r ur pension funds? Any better?
 
And how r ur pension funds? Any better?
Much better and are not being exploited by some political party to fund their private lifestyles. So what is CCM using pensions fund for?
 
Hivi sasa kampuni zinazochimba madini Tz hazijabadilika, ni zile zile zimekuwa zikiwapora. Je JPM ameweka mikakati ipi kuzuia uporaji huo juu sioni vile ukuta utawazuia kina Acacia?

Swali zuri. Umeonesha ukomavu wa hali ya juu
 
Magufuli wewe wakazie hivyo hivyo, hatuwezi kuruhusu hii hali ya kugeuzwa shamba la bibi
 
Yeye na wenzake inawezekana wakawa walaji nambari moja wa madini yenyu?

Usilete hisia. Tunataka ushahidi wa yeye na wenzake kuiba madini. Vinginevyo ni majungu YAKO tu.
 
Much better and are not being exploited by some political party to fund their private lifestyles. So what is CCM using pensions fund for?
The ones couldn't build Hazina Tower? Peleka ujinga! The ones funding the likes of Mumias sugar n East African portland cement!
 


Umesahau Kenya yote ni mali ya English Monarchy, wote hapo ni Wapangaji tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…