Upo sahihi video call ni hatari sana..utajikuta upo kwenye www.porn.comVideo call tena! Umesahau yaliyowatokea Zari na Lulu Diva.... usiiamini video call
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂umewaza kama mimi
Ujanani na long distance relationship ya Nini Mimi? uzeeni ndio nimekutana nazo ila hii style sijapewa bado itabidi niiapply myself na bby😁😁😁Kwani we haya mambo hujawahi kufanya ujanani🤣
Uzeeni hapana aloo🤣🤣ujanani ilinoga zaidi hakyanani!Ujanani na long distance relationship ya Nini Mimi? uzeeni ndio nimekutana nazo ila hii style sijapewa bado itabidi niiapply myself na bby😁😁😁
Mywangu,trust nobody huwezi jua upuuzi wa mtu mpaka muachane😁😁😁kama unadate mpuuzi don’t try it na kila mtu😂😂😂
Na wewe uliupiga mwingi kama mwamba hapo juu?😁Uzeeni hapana aloo🤣🤣ujanani ilinoga zaidi hakyanani!
Kweli tumetoka mbali sana.
Eeeeh sana tu yani🤣🤣🤣 kipindi hicho mtumishi mtiifu wa chaputa naachaje sasa, babe yupo masafa...long distance r'ship ni kujiumiza tu.Na wewe uliupiga mwingi kama mwamba hapo juu?😁
Umepiga mule mule, kuna wale wasiokubali kuachika ndio kimbembeMywangu,trust nobody huwezi jua upuuzi wa mtu mpaka muachane[emoji16][emoji16][emoji16]
Ni ujinga kung'ang'ania sehemu uliyotakiwa uondokeUmepiga mule mule, kuna wale wasiokubali kuachika ndio kimbembe
Siwezi hata kujaribuHata minashangaa sana....[emoji849] lakini ebu tujaribu mimi na wewe tuone inavyo kuaga mkuu...[emoji39]