kabisa. ni temporay isizidi mwaka....zaidi ya hapo ni kudanganyana tuuMkipatana mnaojiheshimu na kuheshimiana mnaweza, lakini isiwe miaka yote muishi mbalimbali baada kipindi fulani lazima urudi. Kwa kifupi long distance relationship iwe temporary
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa. ni temporay isizidi mwaka....zaidi ya hapo ni kudanganyana tuuMkipatana mnaojiheshimu na kuheshimiana mnaweza, lakini isiwe miaka yote muishi mbalimbali baada kipindi fulani lazima urudi. Kwa kifupi long distance relationship iwe temporary
Video call uku tukipiga puli wote itakosha bila ivo siwez 😽Yarabiiii Asalalekiii
MhMbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuu
Mbona unastuka babe
Mimi ata wiki siwez iweje kustahimili 😏 utanboaMbona unastuka babe
Daaah week hustahimili aiseee😂😂😂Mimi ata wiki siwez iweje kustahimili 😏 utanboa
Ndio maximum siku 3🤣Daaah week hustahimili aiseee😂😂😂
Shemeji anafaidi aisee ila akisafiri kaumia.Ndio maximum siku 3🤣
Hakuna mkoa wenye madem wabovu kama mbeya.Mkuu huku mbeya sijui kumekaaje hakuna hata mishangazi aisee
Doooh sio poa my ila usijali 😂😂😂Ndio maximum siku 3🤣
We jamaa vituko vingii😂😂😂😂 nikiona huo mkofia wako kwenye profile huwa nacheka kinomaaHakuna mkoa wenye madem wabovu kama mbeya.
Mkuuu nipe connection ya mshangazi mbeyaHakuna mkoa wenye madem wabovu kama mbeya.
Mkuu nilikaa mwezi mzima hapo mbeya hamna kitu madem wana shape mbaya balaaWe jamaa vituko vingiii
Pole sana, mchukue mkae karibu mkuu..!!
Njoo mwanza niyakuzoa mzee.Mkuuu nipe connection ya mshangazi mbeya
As long as am here deile itakuwa 🔥Ndio maximum siku 3🤣
😁😁 umechelewa kuja kunipa moyo mkuuPole sana, mchukue mkae karibu mkuu..!!