ππGifted dawa yake my wangu sweery hatomuwezaa
Acha ujambazi mfyuuuWeeeeeh!! π€£π€£π€£π€£
Sasa mashangazi ya Mbeya, tumekukosea nini tena jamani?Mashangazi ya Mbeya wengi ni maskini, wakijitahid utakuta wanauza mchele mashineni na kuuza chapati na mihogo vyuoni, utakula hela yao ipi hapo?
Love yah honeyThat's wat we call as love π
Au unasemaj babe utamshindwa huyo kweli?ππ
Haiwezekani ila umekua mpambe sanaπMore blessings kwenu, msije kutuambia mmeachana, tunawasindikiza na Viboko
Mtoto mdogo tu uyoAu unasemaj babe utamshindwa huyo kweli?
Ndo alivo huyo alianzisha mada ikawa ni kusemwa tu πππHaiwezekani ila umekua mpambe sanaπ
naona Kakimbia atakuja kesho hahahaMtoto mdogo tu uyo
π€£ like anasubiri uniacheNdo alivo huyo alianzisha mada ikawa ni kusemwa tu πππ
Nitamkuta lkn babe huzimagi data lohnaona Kakimbia atakuja kesho hahaha
πππππ€£ like anasubiri uniache
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππ
Nope that's can't happen never ever
Mmmh we nae mbona juzi tulikuwa tunapishan online darling ππNitamkuta lkn babe huzimagi data loh
Hutaki kufeel insecure?Wanaume wafupi wauaweπ€£π€£π€£
πBasi babe nisicomplicateMmmh we nae mbona juzi tulikuwa tunapishan online darling π
Sema wewe yaani ndo unapiga gap hadi sio poa toka jumatano ukaja kuingi jpili kweli jaman au hunipendi babe ππBasi babe nisicomplicate
Hapa atleast umenitoa tongotongo. Nilitaka nishangae ndani ya TZ hii inapita miezi mitatu au sita hamjaonana na unasema uko kwenye mahusiano.Ni enzi za covid hizo mkuu halafu bora ilikuwa mabara tofauti, watu hawaonani miaka 2-3 wapo dar na mwanza, dar -bk hawa ndo watwambie nini kinawasibu