Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Noo babe nakupenda tu😍ila ni simu ninayotumia inakula bando achaSema wewe yaani ndo unapiga gap hadi sio poa toka jumatano ukaja kuingi jpili kweli jaman au hunipendi babe 😍
Piga mahesabu toka tumeanza mahusiano yetu, ndio muda exactly nimewahi vumilia..Kwahiyo babe wewe umewahi kuvumilia kwa muda gani? Usijifanye hujaona swali 🤣
Nikasema mbn sijapata taarifa za ukimya huo au labda fundi wa moyo wangu kapatwa na jeraha katika mwili au??!! 😕😕😏😜😘Noo babe nakupenda tu😍ila ni simu ninayotumia inakula bando acha
😽😻😄 itabidi niwe nakuaga babeNikasema mbn sijapata taarifa za ukimya huo au labda fundi wa moyo wangu kapatwa na jeraha katika mwili au??!! 😕😕😏😜😘
Yeah si unajua tena maisha yenyewe haya stress kila muda hujaona kuna mtu kaanzisha uzi anasema anaogopa simu ikiwa inaanza kuita😽😻😄 itabidi niwe nakuaga babe
🤣🤣sijaona hio …kwa Hilo usijali babeYeah si unajua tena maisha yenyewe haya stress kila muda hujaona kuna mtu kaanzisha uzi anasema anaogopa simu ikiwa inaanza kuita
Waooh ukisema ivo napata faraja moyoni coz i don't wanna get stressed🤣🤣sijaona hio …kwa Hilo usijali babe
Sema leo umejitahidi sana hahah mpka saivi mida yako inakuaga mwish saa 5😂😂🤣🤣sijaona hio …kwa Hilo usijali babe
Mahusiano gani tenaHabari wakuu,
Mpaka sasa nipo mbali na shemeji yenu ni mwaka sasa hatujaonana sababu ya issue za utafutaji japo mawasiliano yapo strong kiasi chake.
Ila mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
Apa nasinzia hujui tu love😂Sema leo umejitahidi sana hahah mpka saivi mida yako inakuaga mwish saa 5😂😂
Anyway ni usiku sana upumzike sasa babeApa nasinzia hujui tu love😂
Thanks goodnight love ❤️Anyway ni usiku sana upumzike sasa babe
Eti baadae hahaha daahThanks goodnight love ❤️
..baadae
Naomba ulale pia nikikuacha Apa napata kawivuAnyway ni usiku sana upumzike sasa babe
😂😂😂Naomba ulale pia nikikuacha Apa napata kawivu
Lione 😂😂acha Nieke alarm kesho loveEti baadae hahaha daah
Okay usiku mwema😴😴Lione 😂😂acha Nieke alarm kesho love
🙂😻😂😂😂
Okay ngoja nizime data kwa ajili yako kipenzi 😍😘😘