Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
- #1,081
Kabisa mkuusometimes long distance relationship inakuwa strong kuliko maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuusometimes long distance relationship inakuwa strong kuliko maelezo
kurasmisha una maanisha nn?4 yrs bila kuonana! Ilinisaidia kuvumilia kuishi na genye, kikubwa mawasiliano imara yakiyumba na penzi linakufa hasa kama hamjarasmisha
Nawewe ulituma kabisa 😂Ilidumu mpaka pale aliponiambia nimtumie suti kwa ajili ya kaka yake kuolea na mimi nikatuma kuja kugundua ilikuwa ni suti ya bwana harusi anaemuoa yeye, kuvaa siku ya ndoa yao.
Polee sana dada, umekosa kotekoteYalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
Wanastahimili sana as long hawakutani na wanaume 🤣 ila kama routine yake 24/7 yuko nje na anakutana mabaharia hawezi kubaki salama. Yupo mmoja tu ataomba namba na atapewa right on time na mchezo wa kuchatishana ukianza jua imeenda.Mbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuu
Yeah tunachati tu kama marafiki
Hahahahah hakuna sehemu hatarishi kama Dar, kuna kila aina ya starehe na walimu wa kila somo.🤣Mi naona dar ndo sehemu rahisi kwa mwanamke kutulia maana maisha ya mjini tu ni hekaheka tosha, pia wanawake ni wengi na wazuri kiasi wanaume wana machaguo mengi, tofauti na huko miji midogo wanawake wachache hivyo inafanya wawe wa kugombania kama na mchuchu nae anavutia mji mzima utamtaka yeye tu
Hauwezi kumfumania, huwa tupo smart sana🤣🤣🤣Unadhani bby wangu nitamuacha sasa? Labda nimfumanie live😁
Yaani pamoja na yooote, bado tena wewe ni mbabu🙆🙆🙆Sasa mbona tunazeeshana mkuu🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni mwaka wa 3 sasa huu unaendea mpenz.. 10/10 jiandae kuna kazawadi kadogo nakuandalia kwenye anniversary yetu ya 3.
😘😘😘
Eti eh nashida ya 35mlNaomba niwe danga lako 😎
Vyote vyotekurasmisha una maanisha nn?
Ndoa au kuvuana nguo?
Kwamba umenikubali na uzee wangu🤣🤣🤣🤣Yaani pamoja na yooote, bado tena wewe ni mbabu🙆🙆🙆
Haki uchawi upo🤣🤣🤣
Kwa mwanamke naona kinyume chake kuliko miji midogo mzee, ila kwa mwanaume ndo hakufai pisi ni nyingi na kali halafu rahiiiiiiisiii yani za kuzoaHahahahah hakuna sehemu hatarishi kama Dar, kuna kila aina ya starehe na walimu wa kila somo.🤣
Yani mpenzi hata awe decent kiasi gani akiingia tu bandari salama lazma atiwe nyavuni. Oya kuna watu hawaangalii sura amini kwamba tena wanaotoka mikoani ndio huwa so vulnerable.
35 millimeters za maji au mafuta?Eti eh nashida ya 35ml
Pesa millioni35 millimeters za maji au mafuta?
Si ndio hapo🙆🙆Kwamba umenikubali na uzee wangu🤣🤣🤣🤣
Ukipata mwanamke anayeweza kunihonga hvy naomba unionganishie mana mwnyw cjawah kuzishika hizo 😎Pesa millioni