Serious?Mkuu yani acha tuu, pole sanaπ
Vipi pemba mlienda? Au mliishia UngujaHahaa ndiyo huyohuyo. Si ndo hapo anajifanya eti hajafanywa siku nyingi kumbe mama huruma drama tu
Inasikitisha kuna mwamba atamuoa na kumfanya mke
Ila nashukuru sikuuza mechi π€£
Pemba ilikuwa fingering tu ila kunyaza kama kawaVipi pemba mlienda? Au mliishia Unguja
Mna mda gani hamjaonana mkuu?Mpaka tulipofikia kwasasa sijui kama tumeachana au la
Uliniachia lini wewe?Babuuuuuuuuπ€£π€£π€£
Naona umeachiwa!
Hakustahili kunyanzishwa huyo kurjuaniPemba ilikuwa fingering tu ila kunyaza kama kawa
Mapenzi ya mbali ni mapenzi ya Mungu kwa binadamu. Hakuna mapenzi ya mbali kwa binadamu wa kike na wa kiume... Mtadanganyana tu huku mkila matunda kimasiharaMapenzi yako ya mbali yalidumu kwa muda gani? Au hutaki kuyasikia tupe uzoefu babu
Kwa hali hii vijana wanaendeleza uhuni wa zamaniMapenzi ya mbali ni mapenzi ya Mungu kwa binadamu. Hakuna mapenzi ya mbali kwa binadamu wa kike na wa kiume... Mtadanganyana tu huku mkila matunda kimasihara
Mwaka janaUliniachia lini wewe?
Babu alimpindua jamaa?Mwaka jana
Hayo ni maneno tuu mkuu.Wahenga wanasema fimbo ya mbali haiui nyoka.
Hayo ni maneno tuu mkuu.
π€£π€£π€£π€£π€£Babu alimpindua jamaa?