Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha, vzr km unamuamini,safi sanaHawezi namuamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha, vzr km unamuamini,safi sanaHawezi namuamini.
Mbona umenigeuka tena ndugu yangu😁Wewe tena sio wanne tu ni timu ya watu 11 kocha wa 12
Tumetoka mbali mkuu since tupo wadogo so bond yetu ni kubwa.Hahahahaha, vzr km unamuamini,safi sana
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu hivi lengo lako hasa hapa kwenye uzi wangu ni nini aisee😁😁 dah
Kwa huyo Mzee wa kupambania aah huyo hawezi hizi mambo zetuMbona umenigeuka tena ndugu yangu😁
Mahusiano yangu yakivunjika wewe utakua umehusika😁🤣🤣🤣🤣🤣
Kukufariji shemeji!
Hapo sawa.Kwa huyo Mzee wa kupambania aah huyo hawezi hizi mambo zetu
Anaambiwa ukweli, tatizo hatupendi kusikia ukweli 🤣Mmeshindwa kumfundisha kijana wenu Yohimbe bark ndo kwanza mpo kumkandia ila si mnaujua mziki wetu na sisi tukiamua😅😅😅
Mlale sasa vipi mmekumbuka kumeza dawa za presha na sukari?Anaambiwa ukweli, tatizo hatupendi kusikia ukweli 🤣
Yohimbe bark unapewa dondoo nyingine toka kwa legend🤣🤣Hahahahaha angalia usije kutumiwa meseji ya it's too late, akawa kapata mwingine
Uzee wetu haujafikia huko, huoni tunazichapa papa kuliko vijana wa 25yrs🤣🤣🤣🤣Mlale sasa vipi mmekumbuka kumeza dawa za presha na sukari?
Huyu si kama nyie tuuYohimbe bark unapewa dondoo nyingine toka kwa legend🤣🤣
Hahahahaha, haya bana ,Mkuu mie sina neno,hongereniTumetoka mbali mkuu since tupo wadogo so bond yetu ni kubwa.
Kumbe wazee wetu wana doseMlale sasa vipi mmekumbuka kumeza dawa za presha na sukari?
Kuna uzi wa finca ngoja nikutag umuone mzee wa hovyoUzee wetu haujafikia huko, huoni tunazichapa papa kuliko vijana wa 25yrs🤣🤣🤣🤣
Shukrani mkuu.Hahahahaha, haya bana ,Mkuu mie sina neno,hongereni
Uzee wetu haujafikia huko, huoni tunazichapa papa kuliko vijana wa 25yrs🤣🤣🤣🤣