ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Acha uchokozi nishakwambia🤣🤣🤣Na ufupi wako na huna hata mia ila nakupenda tu. Na bado huoni!! Haki wanaume wafupi muuwawe, hamna shukrani🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchokozi nishakwambia🤣🤣🤣Na ufupi wako na huna hata mia ila nakupenda tu. Na bado huoni!! Haki wanaume wafupi muuwawe, hamna shukrani🤣🤣🤣🤣
Sasa mpare na kupatwa wapi na wapi!! Wameshindikana kabisa🤣🤣🤣Hujapatwa wewe....
Ukipatikana utajimalisaaaa
Soon mnaumaliza mwendo 😁😁Tunakaribia mwaka, nampenda sana.
Nina furaha na amani, kikubwa ni mawasiliano imara basi.
Toa pesa bwana we!! Uchoyo tu utafikiri utazikwa nazo😏🤣🤣🤣🤣🤣🤣sio lazima nirefuke kila mahali, halafu atoto acha uchokozi!!
Babu kasema sio lazima arefuke kila sehemu itakua iyo sehemu ndefu ndio imekufanya umgande mzee wetu japo hana hela😁Na ufupi wako na huna hata mia ila nakupenda tu. Na bado huoni!! Haki wanaume wafupi muuwawe, hamna shukrani🤣🤣🤣🤣
Dejane Unakibana wee mwishowe kinaliwa na mzabzab au Mzee wa kupambania mzabzab Mzee wa kupambaniaTatizo nyegee???unajibana weee mwisho wa siku hakuna ulichoambulia na mnaachana
Alikujomesha,unaweka furaha Yako Kwa binadamu? 🤣🤣🤣Yalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
Shindikana🤣Hadi uzee huu sijapatwa, sipatwi tena🤣🤣
Acha kutuchafua🤣🤣🤣Najua nyie wawili swala la kupagawishwa ni kwenye pesa tu, huko kwingine tunawaachia wadada wa kipare na kinyaturu...🤣🤣🤣nyie uwiiii inakuja kwa sababu ya pesa tu
Kwani mademu wengine wameishia? Kuna demu na Mke ni vitu 2 tofauti hapoNakubali mkuu, ila issue ya genye huwa mnapambana nayo vipi? Maana dah
Naomba hela🤣🤣🤣Acha uchokozi nishakwambia🤣🤣🤣
Hamna ni uchawi, vichawi hivi🤣🤣🤣Babu kasema sio lazima arefuke kila sehemu itakua iyo sehemu ndefu ndio imekufanya umgande mzee wetu japo hana hela😁
Utatumiwa hizo sms na ata megwa kama kawa,point ni amekupa nafasi gani ya mume au mpenzi? Na anaweza pata mwingine huko Aliko na probably yupo kabisa.Ngoja nimwambie nayeye akizidiwa apige selfie kidogo aisee, maana kumegewa kusikie tuu. Naona ananitumia sms za kunimiss sana hadi naogopa.
Kababu kakijua unaenda kwake kanapaka mkongo kanatulia mtoto ujae kwanini usikagande kazee ketu😁😁😁Hamna ni uchawi, vichawi hivi🤣🤣🤣
Sijawahi kuwa na mpenzi mbali mimi...Mashangazi gan mnataka hela, huoni Poor Brain anajivunia nyie mnapigo za wadada wadogo... Mtujali kama mabinti wanavyowajali wazee😂
Mkuu umeamua kunipiga mkuki wa moyo kabisa😁Utatumiwa hizo sms na ata megwa kama kawa,point ni amekupa nafasi gani ya mume au mpenzi? Na anaweza pata mwingine huko Aliko na probably yupo kabisa.
Huwajui vizuri wanawake,labda awe Mke mna ndoa hapo atamegwa ila mwisho wa siku atakuwa Mke vile vile hawezi olewa twice
Mtoa mada mateso yanaendelea 🤣🤣🤣Utatumiwa hizo sms na ata megwa kama kawa,point ni amekupa nafasi gani ya mume au mpenzi? Na anaweza pata mwingine huko Aliko na probably yupo kabisa.
Huwajui vizuri wanawake,labda awe Mke mna ndoa hapo atamegwa ila mwisho wa siku atakuwa Mke vile vile hawezi olewa twice
Ukiponea mirembe ndio utakuwa mkomavu.Mkuu umeamua kunipiga mkuki wa moyo kabisa😁