long live president jakaya kikwete

Status
Not open for further replies.
Sio kila kitu akikwambia Ustaadh Ilunga unaamini. Hao watoto under 5 na hizo mimba unazoziona hapo ni za sasa na rais wako ana miaka 8 madarakani ameshindwaje kuwasaidia hao na yeye anajiita Bwana/ Bibi MAENDELEO
Miaka 8 unapiga kelele, Nyerere alitawala miaka mingapi aliweza kuzuia njaa na wakati alipo kuja kulikuwa kuna kila kitu kawachiwa na wakoloni.

Usifananishe nyerere na kikwete hata siku moja utachekwa.
 
Miaka 8 unapiga kelele, Nyerere alitawala miaka mingapi aliweza kuzuia njaa na wakati alipo kuja kulikuwa kuna kila kitu kawachiwa na wakoloni.

Usifananishe nyerere na kikwete hata siku moja utachekwa.

Nyerere alijenga viwanda Kikwete kabomoa viwanda....

Nyerere alijenga uchumi, Kikwete ameua uchumi...

Nyerere alipiga vita rushwa, Kikwete anapokea rushwa...

Nyerere hakuwahi kupelekwa The Hague, Kikwete atapelekwa The HAgue...

Need I say more....
 
Uchumi gani wewe aliyo ujenga zaidi ya kudhulumu mali za watu...Msajili wa majumba sijui nini, hebu nieleze nini nyerere alicho kifanya.
 
Uchumi gani wewe aliyo ujenga zaidi ya kudhulumu mali za watu...Msajili wa majumba sijui nini, hebu nieleze nini nyerere alicho kifanya.
Hata nikueleweshe vipi huwezi kuelewa alichokifanya Nyerere kwa kuwa tayari umeaminishwa kuwa yeye ndio aliiua East Africa Muslim Society...
 
Iko wazi adui wa Waislamu wajinga kama wewe ni Nyerere, hili linafahamika wazi.
Kama mnavyo fanya nyie mnadhani wote, sioni sababu ya kumchukia nyerere kidini.

Namchukia sababu siasa yake imewarudisha nyuma sana wa Tanzania.

Nielezeni kitu gani nyerere alijenga zaidi ya kubomoa.
 
u better be paraying and fasting for ur coming GEs..haya mambo ya kusifia ujinga hatutaki,by th way mamab ya Tz yanauhusu wenye Tz yetu...acheni unafiki!

wewe ndo mnafiki mkubwa kama ukitaka kusifiwa basi si uwanie urais tz lakini unajua vizuri ikifika mbivu na mbichi CCM ndo wataendelea kutawala
 
Hata nikueleweshe vipi huwezi kuelewa alichokifanya Nyerere kwa kuwa tayari umeaminishwa kuwa yeye ndio aliiua East Africa Muslim Society...
Azue uislam!! nadhani una ota, hakuweza na hata siku moja hakusubutu na alikuwa hana uwezo huo, uislam hakuna anaye weza ku-uwa..sio yeye wala kiongozi wowote duniani atakaye subutu...usicheze na uislam dogo.

Msiende kwenye dini mtalia sasa hivi, bora mbakia kwenye thread inavyo sema.
 
si mnajua uidhaifu wa CCM ndo maan mnapenda waendelee kutawala ili muendelee kusema Mt.Kilimanjaro ipo Kenya.....hatuwapi tena kura zetu...wachawi wakubwa nyie,wana watokea pabaya hamna hata chembe ya soni!
wewe ndo mnafiki mkubwa kama ukitaka kusifiwa basi si uwanie urais tz lakini unajua vizuri ikifika mbivu na mbichi CCM ndo wataendelea kutawala
 
njaa hiko kila pahali afrika hata kenya kwa hivyo tumlaumu bw. Kikewete?
Napo ongelea njaa nilikuwa naongelea yule aliye sema kikwete ndo kawa-wacha hao njaa kwenye picture.

Kabla hujakimbilia kujibu uwe unatazama najibu kwenye point ipi, na kwa sababu gani.
 

Naona kumbe hata EAMS huifahamu,,, kumbe napoteza muda wangu kubishana na mtu asiyeelewa kitu. Jioni njema mkuu
 
Kama mnavyo fanya nyie mnadhani wote, sioni sababu ya kumchukia nyerere kidini.

Namchukia sababu siasa yake imewarudisha nyuma sana wa Tanzania.

Nielezeni kitu gani nyerere alijenga zaidi ya kubomoa.
Ingekuwa somo la kuchoma makanisa na kufanya ugaidi ungeelewa mara moja, lakini kuhusu Nyerere anayeuliza alifanya nini huyo moja kwa moja si Mtanzania.

nyinyi ndio wafuasi wa Mohamed Said. Gaddafi aliwajuwa vyema hamuitaji msaada wa mashule wala Hospital bali mjengewe misikiti na kuletewa tende na majambia tu.
 
Last edited by a moderator:
si mnajua uidhaifu wa CCM ndo maan mnapenda waendelee kutawala ili muendelee kusema Mt.Kilimanjaro ipo Kenya.....hatuwapi tena kura zetu...wachawi wakubwa nyie,wana watokea pabaya hamna hata chembe ya soni!

leo umekunywa kiroba cha jogoo au mbege? manake unaropokwa tu huna lolote lipya wewe
 
sijanywa hivyo vyote.....ni Uzalendu kwa nchi yangy ndo unaonisukuma kuyasema hayo usiyoyaelewa ww....hamna jipya nyie ni wanafiki!

leo umekunywa kiroba cha jogoo au mbege? manake unaropokwa tu huna lolote lipya wewe
 
Wacha kelele leta kitu gani nyerere kakifanya zaidi ya kudhulumu wahindi na warabu majumba yao.

Kitu gani nyerere alikifanya zaidi ya ujambazi, kila kukicha majambazi ambao ni mapolice na wanajeshi.

Nyerere alifikia mpaa anaingilia majumba ya matajiri na kuiba michele, sukari, unga wa mahindi/mtama/ngano na mengi tu, mpaa na pesa alikuwa anazichukua afu unasema kiongozi??

Mimi nataka wewe unieleze nyerere kajenga kitu gani tanzania, zaidi ya kubomoa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…