Acha basiπ€£π€£Mleta mada bila shaka anatokea kanda ile ya Senene na Ndizi.
Akifanikiwa kupata mweza,asinisahau niwe msimamizi wa harusi,upande wa vinywaji,sitamuangusha.Acha basiπ€£π€£
Ila inategemea na mood wakati unaandika huu Uzi uko n feeling Gani ... Huwaga kina flow tu. I got him.
Ila Kuna angalizo awe poa upstairs.
Wajitathimini
Hope tutasimamia woteπ hatuta muangusha aseme mapema tuanze chagua kitama ch sutAkifanikiwa kupata mweza,asinisahau niwe msimamizi wa harusi,upande wa vinywaji,sitamuangusha.
πππUgali wa mzyenge ama niniKuna huyo mmoja alikuja na viingeleza kama hivi nikadhani yupo seriously Maana alieka hadi email wee ni msukuma
Alikuwa ananifokea ananilazimisha niende mwanza nikakataa akaniambia KWANI WEWE NI UGARI???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sema mimi kiinglish sikijui akianza chingreza Ntalia na naniHope urassa .Vuka na chako my Dear Friend Manka,Naamini maombi yako yamejibiwa kabla Mwaka kuisha .Glory glory π»π»
You're cordially invited πKuna huyo mmoja alikuja na viingeleza kama hivi nikadhani yupo seriously Maana alieka hadi email wee ni msukuma
Alikuwa ananifokea ananilazimisha niende mwanza nikakataa akaniambia KWANI WEWE NI UGARI???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ugali wa mzyenge ama nini
You're cordially invited [emoji8]
ππππKwani salikutumia kanauli kadogo[emoji23][emoji23] msukuma yule analazimisha kiufupi Hana maada
Hapo nika note kitu wanaotafuta wachumba mitandaoni wengi wako na shida imagine huyo bro hatufahamiani ananilazimisha niende Mwanza na ndio kwanza tuna siku 3 tangu tuanze kuongea
Nilipokataa ndio ananiuliza KWANI WEWE NI UGALI? Akimaanisha kuwa naringaringa nini kwamba nisipoenda yeye hawezi kufa njaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kajamaa ni kababe
Umelengwa wewe,unawanyoosheaje kidole wenzako?Hope urassa .Vuka na chako my Dear Friend Manka,Naamini maombi yako yamejibiwa kabla Mwaka kuisha .Glory glory π»π»
Kabila mzungu!Mimi vingereza siwezi tutashindwana
Ila ujasema dini gani wewe na kabila lako
NoHuyu shem ni mutu ya mbele nini? Kinge kimenyooka
Halafu atakuwa anaishi au alishawahi kuisha Scandinavian countries.Mleta mada bila shaka anatokea kanda ile ya Senene na Ndizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani salikutumia kanauli kadogo
Ka
Kabila mzungu!
Angenitaja kama Mimi nilivyo muita mlengwa live π€Umelengwa wewe,unawanyoosheaje kidole wenzako?