Long-term partner - woman is needed

Long-term partner - woman is needed

[emoji23][emoji23][emoji23]Ugali wa mzyenge ama nini

[emoji23][emoji23] msukuma yule analazimisha kiufupi Hana maada

Hapo nika note kitu wanaotafuta wachumba mitandaoni wengi wako na shida imagine huyo bro hatufahamiani ananilazimisha niende Mwanza na ndio kwanza tuna siku 3 tangu tuanze kuongea

Nilipokataa ndio ananiuliza KWANI WEWE NI UGALI? Akimaanisha kuwa naringaringa nini kwamba nisipoenda yeye hawezi kufa njaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Kajamaa ni kababe
 
[emoji23][emoji23] msukuma yule analazimisha kiufupi Hana maada

Hapo nika note kitu wanaotafuta wachumba mitandaoni wengi wako na shida imagine huyo bro hatufahamiani ananilazimisha niende Mwanza na ndio kwanza tuna siku 3 tangu tuanze kuongea

Nilipokataa ndio ananiuliza KWANI WEWE NI UGALI? Akimaanisha kuwa naringaringa nini kwamba nisipoenda yeye hawezi kufa njaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Kajamaa ni kababe
😂😂😂😂Kwani salikutumia kanauli kadogo
 
Back
Top Bottom