Mkuu vipi nawewe umefaulu au sote tuache uasherati...?😂Habari wana jukwaa.
[emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa.
[emoji116]
1. Kujenga urafiki na MUNGU.
2. Kujiwekea malengo.
3. Bidii na nidhamu ya kazi.
4. Kutafuta maarifa sahihi.
5. Kuepuka uasherati.
6. Kuepuka Pombe.
7. Kukubali kuanzia chini.
8. Kujifunza kwa waliofanikiwa.
9. Kuheshimu wazazi na wanajamii wote.
10.Kuwa na mhimili wa watu sahihi kwenye maisha.
#MyCountryPeople[emoji1241].
safi sana,Niambie namna ya kupata mtaji
Niambie biashara zitakazo nifanya nitoboe
Hizo ulizosema tutazisikiaga sana
Na wengi wao wanasema mambo mengi ambayo wenyewe wameshindwa kufanya,, ndomana nimeacha kuwafatilia sikuizisafi sana,
jihadhari na motivational speakers, hawanaga jipya
ndo ajira zao.... yaani unakuta mtu tokea uanze kumfahamu mpaka leo anafundisha watu jinsi ya kufankiwa🤣 hamaliziNa wengi wao wanasema mambo mengi ambayo wenyewe wameshindwa kufanya,, ndomana nimeacha kuwafatilia sikuizi
KUHESHIMU WAZAZI SAWA ILA WANAJAMII WOTE HAPANA..LABDA NYINYI WA OYSTER BAY SISI WA BUZA JAMII ZETU HAZIJIESHIMU,NITAWAHESHIMU VPHabari wana jukwaa.
[emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa.
[emoji116]
1. Kujenga urafiki na MUNGU.
2. Kujiwekea malengo.
3. Bidii na nidhamu ya kazi.
4. Kutafuta maarifa sahihi.
5. Kuepuka uasherati.
6. Kuepuka Pombe.
7. Kukubali kuanzia chini.
8. Kujifunza kwa waliofanikiwa.
9. Kuheshimu wazazi na wanajamii wote.
10.Kuwa na mhimili wa watu sahihi kwenye maisha.
#MyCountryPeople[emoji1241].
Wanauza na vitabu 😂😂ndo ajira zao.... yaani unakuta mtu tokea uanze kumfahamu mpaka leo anafundisha watu jinsi ya kufankiwa🤣 hamalizi
kina joel nanauka
Tunashkuru mkuu kwa kutukumbusha.Habari wana jukwaa.
[emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa.
[emoji116]
1. Kujenga urafiki na MUNGU.
2. Kujiwekea malengo.
3. Bidii na nidhamu ya kazi.
4. Kutafuta maarifa sahihi.
5. Kuepuka uasherati.
6. Kuepuka Pombe.
7. Kukubali kuanzia chini.
8. Kujifunza kwa waliofanikiwa.
9. Kuheshimu wazazi na wanajamii wote.
10.Kuwa na mhimili wa watu sahihi kwenye maisha.
#MyCountryPeople[emoji1241].
Wametoboa kwa upuuzi wetu,wanauza vitabu kupitia madhaifu yetu jamaa anatuvitabu mpaka twa buku 2 promoWanauza na vitabu 😂😂