Quartz360
Senior Member
- Mar 27, 2023
- 133
- 317
Habari wana jukwaa.
[emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa.
[emoji116]
1. Kujenga urafiki na MUNGU.
2. Kujiwekea malengo.
3. Bidii na nidhamu ya kazi.
4. Kutafuta maarifa sahihi.
5. Kuepuka uasherati.
6. Kuepuka Pombe.
7. Kukubali kuanzia chini.
8. Kujifunza kwa waliofanikiwa.
9. Kuheshimu wazazi na wanajamii wote.
10. Kuwa na mhimili wa watu sahihi kwenye maisha.
#MyCountryPeople[emoji1241].
[emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa.
[emoji116]
1. Kujenga urafiki na MUNGU.
2. Kujiwekea malengo.
3. Bidii na nidhamu ya kazi.
4. Kutafuta maarifa sahihi.
5. Kuepuka uasherati.
6. Kuepuka Pombe.
7. Kukubali kuanzia chini.
8. Kujifunza kwa waliofanikiwa.
9. Kuheshimu wazazi na wanajamii wote.
10. Kuwa na mhimili wa watu sahihi kwenye maisha.
#MyCountryPeople[emoji1241].